mparestina
Member
- Jun 4, 2011
- 10
- 8
usia huu nauwasilisha kwenu ninyi wana jf,ili wote kwa ujumla tuwe chachu ya mabadiliko,maana mambo 2nayofanya cjui YESU akirud 2taendaje naye kwa matendo ye2 maovu.jamani tuacheni uzinzi ukimwi adhabu ya ukimwi itatumaliza pia inaniuma sana watoto wanavyotupwa,mimba zinazotolewa bila hata aibu,dada acha hizo nakusihi,kwa jina la Yesu ushindwe.vijana wenzangu ni hayo 2 nilitaka kuwaasa.