Huyo askari apimwe akili sidhani kama ni mzima unapiga risasi hewani kwa mtu alieweka mikono mfukoni kulikuwa na ulazima gani kupiga risasi ? Kweli askari ni JW tu hawa polis ni raia wakakamavu !!
Kwani Tundu Lisu kakashifu ?? Au kakosoa ? Mijitu mingine ni ma-k- kabisa kwani kukosoa kitu au mtu ni kosa ? Watu wanamkosoa hata mtume na manabii sembuse jeshi ??kwani unafikiri Rais ana akili mgando kama zako ? Pale hamna kosa ndo maana haimsumbui kichwa ni mtu katoa mawazo yake sasa we...
Aisee kauka usimkumbushe mkulu kwa hilo maana utashangaa mtu unatumia cheti cha marehemu !! Chezea John [emoji481] [emoji481] [emoji359] [emoji359] veve hashindwi !!
Ndio ana cheti feki tulimjua maana jina lake la halali tunalijua alisoma na mdogo wangu ila kwa sasa tunashangaa anatumia jina lingine feki maana wakati sakata la vyeti limeanza amekuwa mpole anamwamkia kila mtu wakati alikuwa kama nyoka akikukamata utakoma !! Kwa hili Magu nampa tano !! Heshima...
Duh kuna afande mmoja namjua yupo pale moshi ngoja nimsubiri mtaani yaani ni kiherehere balaa anakamata watu ovyo kwa kosa la kubambikwa !! Magu oyeeee
Nao watumbuliwe wenye vyeti feki ! Kwanza ukiangalia hao wenye vyeti feki hasa polisi ndo wanaongoza kubambikiza raia kesi za uongo na wananyanyasa watu sana ! Mtu aliesoma kwa jina lake kihalali huwa hawana tabia za kishenzi kama hao mafeki feki nashauri wakaguliwe ila Mkulu ni muoga sana najua...
Pia JWTZ ndo jeshi letu la wananchi ila polisi sio jeshi ni RAIA WAKAKAMAVU TU ndo maana hawajui hata kumkamata raia asie na silaha wao ni kupiga tu sasa sio jeshi lile ni kama jambazi au mwizi wa alieruhusiwa kuumiza raia
Pia mafunzo yao miezi 6 tu wakati jeshi ni zaid ya miaka huwezi...
Pamoja na Lowasa kukaa kimya mbona ccm wanaendelea kuweweseka kila kikao cha ccm jina la lowasa linatajwa ? Hata we mleta mada na wewe chupi inakubana ukifikiria jina la Lowasa poleni sana !
Jamani nasikia aibu sana kweli JK alishasema akili za kuambiwa changanya na zako ! Hivi tutakuwa tunawabeba wenzetu hadi lini hapa sisi tuna walimu wa kiswahili wa kutosha kweli? au tuna madaktari wa kutosha kweli ? Kwa nini asiajiri anabaki kugawa kwa nchi jirani Yaani kila nchi ikiomba kitu...
Nape nilimchukia toka kampeni ya mwaka 2015 alikuwa na siasa za maji taka kabisa alikuwa anatukana na kuongea vitu vya uongo kwa wenzake wa upinzani sasa leo yamemkuta anataka kujikosha hapa ! Kakosa uwaziri anajidai msafi Rais alimjua akamvutia kasi kosa moja nje ya geti kudadadeki atatoka povu...
Punyeto naipenda kwa sababu punyeto inakufanya uchague demu wa aina gani unataka upige
1- Demu mnato sana unabana mkono ulioshika uum...
2-Demu bwawa unapanua mkono
3-Demu bikira hapo ndo hukawii kutema maji ya uzima maana unabana mkono hadi unakaribia kuchukua ngozi
4-Haihitaji kuhonga ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.