Na sisi fagio linakuja la vyeti?

macho yangu

Member
Apr 5, 2017
51
26
Msaada wakuu, mimi nilifaulu vizuri kidato cha nne na kupata cheti halali bahati mbaya cheti changu cha Diploma nimefoji na ndicho kilinisaidia kupata kazi. Je Bwana mkubwa atanitafuta au atatutafuta watu wa aina hii? kidato cha nne 'original' diploma 'fake'
 
Noted.


NB: Kila chuo kinatoa vyeti kwa wahitimu wake, sio kama NECTA
 
Msaada wakuu, mimi nilifaulu vizuri kidato cha nne na kupata cheti halali bahati mbaya cheti changu cha Diploma nimefoji na ndicho kilinisaidia kupata kazi. Je Bwana mkubwa atanitafuta au atatutafuta watu wa aina hii? kidato cha nne 'original' diploma 'fake'
Aisee kauka usimkumbushe mkulu kwa hilo maana utashangaa mtu unatumia cheti cha marehemu !! Chezea John veve hashindwi !!
 
Jitahidi kuingia majukwaa ya kilimo na ufugaji pamoja na lile la ujasiriamali. Seriously, wanakuja kwenye vyeti vya profession. Yaani hapo wale ma Medical Attendant, na nurses wajiandae kufuga kuku na kulima matikiti.
 
Wala usihofu, cheti cha professional hakina shida tena nakushuri ukifoji cha PHD kabisaaaaaa. Kwa nchi hii hutakiwi kufoji cha Sekondary tu. Si ulisikia Kulikuwa na PHD Fulani ilidaiwa ni ya Mazabe????? Kwani ilitumbuliwa sibado ipo ;)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom