Recent content by Mparee2

  1. Mparee2

    Iran strikes Saudi Arabia’s major oil refinery

    Tumieni basi akili? Wanyoroshane wakati tutakao umia ni sisi? Bei ya petrol ikipanda kila kitu kitapanda huku mshahara wako ukipungua dhamani Kama ulikuwa unalipwa shs 500,000; Petrol ikipanda bei, dhamani ya mshahara wako yaweza kuwa shs 380,000. Utakuwa unaipwa laki tano ila utafanya manunuzi...
  2. Mparee2

    Iran strikes Saudi Arabia’s major oil refinery

    huna akili wewe Unafikiri bei ya petrol ikipanda Nauli ya Dar mwanza ikafika shs laki tatu kwa basi ni sawa?
  3. Mparee2

    PostGE2025 Magari ya matangazo yasambazwa mtaani kutoa taarifa kwamba watu wasiandamane. Hii imekaaje? Ni uoga au paranoia?

    Kwa mtu mwenye ufaulu wa hesabu kwa angalau kiwango cha D hawezi kushiri maandamano ya Dec 9, kwani kwa hesabu ndogo ya probability....huwezi kuingia kwenye vita ambayo kwa takribani 89% inaonesha tayari umeshindwa. Hayo ni matumizi mabaya ya Hesabu!
  4. Mparee2

    Jeshi la polisi halina mamlaka ya kuzuia maandamano D9

    Yaani unajiita Genius halafu unawatuma wenzako wakamkate Simba kwa mikono kwa kuwaaminisha kuwa wapo salama? huna tofauti na kibwetere aliye wadanganya wafuasi wake wakaishia kupoteza maisha. Akili za kuambiwa, changanya na za kwako!!!
  5. Mparee2

    Abiria wafurika Mbezi - Magufuri, sababu ni ipi

    Shule na vyuo vimefungwa, Mbona ni kawaida kipindi hiki Miaka yote!
  6. Mparee2

    Mke wangu anatokwa damu kila tukifanya tendo la ndoa

    Sina hakika kama unafaham kazi za estrogen, testosterone, and oxytocin katika mwili wa mwanamke na ujue kila mwanamke ana ratio yake tofauti na mwingine. Kwa kukusaidia tu; Wanawake takribani 20% wapo very active (hao unaosema), waliobaki kama 50% wapo standard wanahitaji kuandaliwa kawaida na...
  7. Mparee2

    Mke wangu anatokwa damu kila tukifanya tendo la ndoa

    Kuna weza kuwa na sababu nyingi 1. Humuandai anakuwa mkavu hivyo anachubuka 2. Unacheza rafu- wale wanaotwanga kama mahindi kwa nusu saa na zaidi- anachubuka 3. Kama ana maambukizi ni sababu pia ILA yaweza kuwa sio kwani angepata maumivu ya kiuno nk 4. Akiwa na vivimbe kwenye njia ya uzazi pia...
  8. Mparee2

    Wajue watu hawa wenye IQ kubwa walioamua kuwa Wakristo

    Hivi Unajua Egypt ni moja ya Nchi iliyokuwa na watu wenye IQ kubwa duniani. Unaweza kufuatilia mambo mengi mojawapo ni Hesabu. Namaanisha wao ndio waanzilishi wa Hesabu mbalimbali na baadhi ya formula za physics na matibabu (biology)- sema tu wazungu hawawezi kuandika hili kwa kuwa ipo Africa...
  9. Mparee2

    Nimenunua kiwanja nikaanza kujenga bado natakiwa niende nikatafute kibali cha kujenga hii ikoje?

    Pole sana kiongozi; umbali kutoka barabarani ni meta 30 kila upande. Wanasema kwa aliyejenga barabara ikiwepo halipwi; hivyo anayelipwa ni aliyejenga kabla ya uwepo wa barabara Japo kwa maeneo ya mijini na manispaa; wanashauri kwenda kuomba kibali kabla ya kujenga ili uambiwe kama unapojenga...
  10. Mparee2

    Nimenunua kiwanja nikaanza kujenga bado natakiwa niende nikatafute kibali cha kujenga hii ikoje?

    Pole lakini hebu apime umbali kutoka lami hadi hapo kwenye ukuta kuna meta ngapi? TATIZO HAPO NI KUWA, AMEJENGA ENEO LA BARABARA
  11. Mparee2

    Nimeamua kutumia mbinu hii kukwepa kodi na tozo kwa biashara yangu mpya.

    Hiyo inawezekana kutokana na aina ya mke uliye naye... kama anaexposure au ni mtu wa mitandao, sawa ila kama ni wale wa ndio mzee...ni ngumu sana kufaniliwa
  12. Mparee2

    Nimenunua kiwanja nikaanza kujenga bado natakiwa niende nikatafute kibali cha kujenga hii ikoje?

    Kwa mujibu wa hiyo picha, naona kama lami imepita hapo, kama meta 3 kutoka kwenye Jengo; Kama ni kweli; huo ukaribu na Lami ndio umefanya uambiwe upeleke Kibali kwa kuwa hairuhusiwi...UMEJENGA ENEO LA BARABARA. Huo umbali unaruhusiwa Mjini kati pekee tena kwa kibali maalum; Nje ya Mji kama...
  13. Mparee2

    Hatimaye yule aliyekuwa akihubiri kwamba Yesu sio Mungu amenena wazi leo kuwa Yesu ni BWANA!

    " Yaani una amini kabisa kuwa, wanadamu WALIMKOSEA MUNGU, halafu wakampiga Mungu hadi AKAFARIKI, ili awasamehe???" Jamani jamani, tutumieni akili aliyotupa Mungu Bure! Yesu alishatuonya; WATU WANGU WATAKUJA KUANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA!
  14. Mparee2

    Hatimaye yule aliyekuwa akihubiri kwamba Yesu sio Mungu amenena wazi leo kuwa Yesu ni BWANA!

    Hivi Jamani kwa akili ya kawaida aliyotupa Mungu muweza ya yote bure Mungu anaweza kweli Kulala usingizi, Kula msosi, kwenda chooni,nk Kukesha usiku kucha anamlilia Mungu? Yesu alisha tuonya; WATU WANGU WATAKUJA KUANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA!!!
Back
Top Bottom