Maisha ni safari ndefu, mafanikio ya mtu hufuata historia ya familia yenyewe, Jina lako la kwanza,viwango vya elimu, vyeo kazini,maeneo ya asili unayotoka, yenye madini, utalii,misitu ya mbao, maziwa/ bahari /mashamba makubwa ya umwgiliaji, biashara , nk cha msingi ni kubana matumizi...
Elimu haina mwisho, mshukuru ndugu yako kukupa ushauri mzuri, mwamba kakupa mshipi na ndoano, ukavue samaki. Maana pesa sasa haitafutwi PESA INATEGWA !
Ukiona watu wengi wanamiliki Harrier, tambua ni gari imara kwa mazingira ya Tanzania, engine ya harrier ndio ya Kruger. Harrier Ni moja ya gari bora hapa Tz tangu matoleo ya mwanzo
Wazo la kuchangisha wazazi,wadau,vyama vya ushirika nk ni wazo zuri sana! Tuko tayari kuchangia Harusi kila mwaka na Maendeleo ya shule wa Tanzania tuko tayari kuchangia wakati wowote.
Mzumbe ni chuo kizuri sana, nilifika hapo kwenye mahafali 24/11/2024 changamoto ni za kawaida, Ambazo ziko vyuoni na tasisi zingine, wengine walitamani kuingia hapo, lakini nafasi zimejaa, Kazana na masomo kijana,
Mwana jamii mwenzetu ,Connections amepata changamoto ya gari yake Mazda, tumpe maneno ya faraja , pia kata b ima kubwa ( Complihensive) ili ikulinde kwenye majanga haya
Tu nampongeza sana huyo mama kwa kusomesha watoto wake Hadi wamemaliza vyuo vikuu, alipambana sana kwa mikopo Hadi malengo yametimia iko siku Mungu atawainua hawa watoto watapata kazi, ama kujiajiri.
Poleni wana familia,ndugu jamaa na ma rafiki na wana kiwira kwa msiba huu, RIP Tabia Mwanjelwa . Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihidimiwe Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.