Recent content by Mpambe wa rais

  1. M

    Aptitude test TCB

    Mimi mpaka leo sijatumiwa chochote si sms si email
  2. M

    Mwanaume mwenzangu usiulize maswali haya kwa mwanamke

    hivi ukimpa mtoto wa kike ela then what next?
  3. M

    Msaada anayefahamu utaratibu wa institute kuwa university

    kuna baadhi ya vyuo vilikuwaga Institute vikapandishwa hadhi kuwa university mfano Mzumbe
  4. M

    Msaada anayefahamu utaratibu wa institute kuwa university

    Habari za mda huu ndugu wanaharakati wa kimaendeleo kama uzi unavyojipambanua naomba mwongozo Katika hili.
  5. M

    Nashauri hili Kuhusu kufunguliwa kwa shule na vyuo

    Kuna haja yatokeapo majanga kama haya e learning system itumike
  6. M

    Mzumbe ya Mbeya na Mzumbe ya Morogoro zina utofauti gani?

    Kwenye result slip yako kama unasoma ya Mbeya pale forest magorofani utaandikiwa MZUMBE UNIVERSITY MBEYA CAMPUS COLLEGE kama unasoma ya Morogoro utaandikiwa MZUMBE UNIVERSITY ingawa gamba la mwisho ni moja upo hapo bibie
Back
Top Bottom