kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 638
- 558
Mbona wengi wanasema hawajaona hizo msg? Au wameita kwa awamu? Wengine watajulishwa baadae?Hiyo Interview ilishafanyika, tulitumiwa email and sms kuwa notified kwa ajili ya interview.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mi binafsi nilikuwa ni wale watu tuliofanya jioni ile na wale nilioingia nao wanasema hawajapata msg yoyote, labda itakuwa wameanza na kundi lililoingia ile asbh.
Wacha tuendelee kusubiria labda nasie tutafikiwa
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
