Mi ni mvulana wa miaka 28, Niko single ninatatizo linanisumbua sana na kunifanya nikose amani pindi nikiwapo na faragha, uume wangu huwa unasumbua sana kusimama kila niapofanya mapenzi kwa round ya pili na kuendelea hii huwa inatokea sana kwa mwanamke niliyemzoea ILA nikifanya kwa Mwanamke mpya...
Mhe, MWANJELWA ukitaka jimbo gombea tutakupa mbona hata BUNGENI tunakusikia wewe unavyo isemea mbeya na wilaya zake. na hii ni kutokana na Mbunge wa Mbeya mjini kushabikia miziki na Clous FM hadi akaswekwa ndani na hakuna aliye mtetea kwani hatukumtuma kufanya hivyo.
Mhe Mwanjelwa kaza buti. mti wenye matunda ndio unao bondwa mawe. ivi asnaye tumia media ni huyu huyu tu, magazeti yote yanajaa habari zake? achani MAJUNGU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.