Siku moja jipe wehu. Ukitoka bafuni na taulo, ukiona wamekaa barazani wametulia, jiinamishe kisha dondosha taulo! Likidondoka jifanye umepagawa kwa kuficha sura na mikono huku ukiwaachia mjengo wautazame. Wataondoka tu. Umeoa mke sio wakwe!
Pole sana kaka maana umeoa mke na wakwe! Huna hata faragha! Huna uhuru! Hata haki za binadamu haziruhusu upuuzi kama huo. Ili isionekane kuwa wewe ndiye uliyeolewa, hama nyumbani kwako bila taarifa kuwa uko wapi kwa kipindi fulani. Ukiweza, nenda kwa huyo rafiki yako wa kitambo lakini usikubali...
Ndugu mwanajamvi pole sana na maswahibu yote yaliyokukuta. Kwanza nikupongeze kwa hatua stahiki uliyoichukua. Umetumia busara ya hali ya juu. Ni kweli kuwa matatizo kaumbiwa mwanadamu. Mimi binafsi ninao mtazamo mdogo unaoweza kurejesha heshima ya ndoa na faragha yako. Naomba ukipenda na kuweza...
Si unajua mkeo kisha mvulia ya ndani, usitegemee kirahisi tu kuwa ataacha kuivua iwapo jamaa ataikumbuka..."maji moto huwa hayasahau baridi" hivyo mke mmoja anamegwa na vidume viwili (wewe na jamaa yako). Jiongeze, hakuna mke hapo ila mnafuga chombo cha starehe.
Tulia, kapime DNA na majibu yatathibitisha mmiliki halali wa mtoto. Na kwa kuwa mkeo kawa mkweli kukwambia kuwa alimegwa na kidume hicho wakati haupo, suala la kuishi ama kutokuishi naye lipo mikononi mwako. Jaribu kuuliza moyo wako unataka nini...akiomba radhi msamehe, na ukishindwa kusamehe...
Kumshutumu mtu bila kuihoji kauli yake ni sawa na kupoteza muda...ikumbuke kuwa kila mmoja huwa na upekee katika kuwasilisha jambo na maana ya mzungumzaji hutofautiana na ya msikilizaji (implication). Ubaya na uzuri wa mtu upo kwa adhaniye. Kilicho kubaya kwa bwana A ndicho huwa kizuri kwa bibi...
"Mti wenye matunda ndio unaopigwa nawe siku zote!" Njama nyingi sana zimefanyika kudhoofisha ishu ya #Escrow ikiwa ni pamoja na kutengeneza doc fake kama hiyo. Kwa yeyote mwenye akili, akiisoma hiyo doc, pamoja na mambo mengine, yafuatayo yanadhihirisha propaganda za kitoto:
1. Sijawahi kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.