Inategemeana na ukubwa wa mbuzi maana kwa Kilosa mbuzi wa ukubwa wa wastan huko minadani hununuliwa kwa Tsh.50,000 -65,000/=
Pia nafanya hivyo kwa kuepuka usumbufu wa kukaa kukimbizana minadan kila iitwapo leo so nimewaza kama kutakuwa na mtu maalumu wa kuweza kusupply mimi itanipa muda sasa wa...
Nawezaje pata mtu wa kunipa mbuzi watatu kila siku au baada ya siku mbili kwa ajili ya kuimarisha biashara yangu ya nyama choma ya mbuzi, niko mkoani Morogoro wilaya ya Kilosa.
Biashara yangu imesajiliwa.
TANESCO kilosa last week mlitusumbua sana mnakata umeme hata taarifa hamtoi,mlitutia hasara wafanya biashara haswa wa chakula especially mimi nilipata hasara ya nyama kuharibika
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kijana msafi, mchapa kazi na anayenielewa, wa kuchoma nyama ya mbuzi safi na kupika supu ya utumbo wa mbuzi safii.
Napatikana Kilosa Morogoro
Mawasiliano: 0754472748
Msingi mkubwa wa hili ni kutoweka kwa mila na desturi zetu kama watanzania,
Mfano hapo awali mila na desturi zilitiliwa mkazo na jamii husika mfano Jando,unyago na mila nyinginezo nyingi ambazo awali zilitumika haswaa kuwaandaa vijana wa rika fulan kwa ajili ya maisha yao na zilizingatiwa na...
Sisi sote ni watanzania wenye niya moja na lengno moja la kuitakia timu yetu ushindi na mawazo ya Rais wetu huenda yakawa na heri ,so tunamtakia Mh Makonda busara njema na hamasa atakayokuwa ametoka nayo kwa Rais wetu
GOD BLESS TAIFA STRAS.
Usikilize moyo wako mkuu ,pia nadhani unahitaji shule maana kila mwanamke anaridhika ktk tendo landoa hata kama ana maumbile makubwa na ww ukawa nayo madogo ishu ni ujuuzi na utaalamu maana mwanamke kumridhisha mwanaume hua ni kitu kidogo sana ila shida ni sisi kuwaridhuisha wao
Ushauri wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.