Habari wakuu natumaini mtakuwa poa,
Nataka kuanza kufanya biashara ya nafaka mf. mchele, maharage kunde n.k lakini ni kuchukua mkoani na kuuza Dar kwa reja reja lakini sijui wapi pa kuanzia na mikoa gani naweza kupata kwa bei rahisi na mimi nikapata faida. Nina mtaji wa ml2.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.