Habari za jion wana jamvi,
Nakumbuka vizuri Mhe,Rais alitoa ahadi ya uanzishwaji wa mahakama ya mafisadi ili kufanikisha uharakishwaji wa kusikilizwa kesi za mafisadi na mhe,Hussein Bashe mbunge wa Nzega aliwahi kumwambia kwamba atakuja kumkumbusha mhe Rais kuhusu uanzishwaji wa mahakama...
Huwezi jua kesho utakua nani,baki kuwa mwanachama muadilifu wa chama unachokiamini...Mhe Rais Magufuli akiwa anatoka kwenye kikao na ka-beg simple kenye nembo ya chama..Good memory.
Habari za usiku huu wakuu,nimefTilia kesi ya daudi mwangosi(marehemu)...mara zote kesi ilipokua inatajwa.mtuhumiwa alikua anafungwa kitambaa ili asionekane..je ni kwa nini au kuna sababu ya msingi ya kumfunga kitambaa asionekane??
Msaada tafadhali.
Mimi in mwanachuo wa Chuo Fulani pale Arusha,nasomea degree ya sheria na naingia mwaka wa pili mnamo mwezi wa kumi..natafuta kazi ya muda ya kufanya(part time) ili niweze kujiendesha...Nna uzoefu wa miaka miwili wa kufanya kazi..nina weza kufanya kazi yeyote halali..
Msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.