Sasa mm kama Ni mshabiki Wa simba utalazimisha niwe Wa yanga? Yaani inachofanya serikali Ni kutulazimisha watanzania wrote tuwe CCM...Ni kitu ambacho hakiwezekani... Tunataka upande Wa pili ili ukukosoe pale unapo lala au mambo hayaendi vizuri...lakini sio uuwe alafu uahidi utasadia mazishi. Na...
Kama yalikuwepo makubaliano ya kupitisha vyama vingi ,kwann Leo hii chama tawala na serikali wanaonyesha chuki wazi wazi kwa vyama hivyo? Nadhani Raid angetumia mamlaka yake kuvifuta badala yakuendelea kwa sintofahamu za kila kukicha... Mwisho Wa Sikh mtu unaichukia nchi yako japo c viongozi...
Nakumbuka ya Arusha... Nassari kapeleka ushahidi uliorekodiwa lakini mwisho wa siku Ni kimya, ukifuatilia utaona Luna watu WA serikali walihusishwa, haki IPO wapi?
Hivi Ccm wamekosa MTU ambae anaijua ccm mpaka wampe Huyu wa Cuf nafasi ya kugombea?Ni mpasuko huo...nikae ccm miaka yote Leo mlugaluga apewe fomu...!simpi kuraa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.