LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
kinachoendelea kwa sasa hapa nchini sio haki kamwe.mbaya zaidi vyombo vinavyopaswa kutoa haki vinatumika kukandamiza wengine kisa tu ya tofauti ya kiitikadi. rais akumbuke kwamba mtawala wa leo ni mpinzani wa kesho. uongozi wa awmu ya tano kumbukeni kiapo chenu kinasemaje....