Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 14 Januari, 2022 amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye uliowasilishwa kwake na Mjumbe Maalum ambaye ni Waziri wa Masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Vijana, Michezo na...
Akizungumza katika kikao maalum cha mawaziri na naibu mawaziri, Rais Samia Suluhu amesema kwamba Urais ni taasisi na sio mtu. Ameendelea na kueleza kwamba taasisi hii huja na mamlaka, miongozo na serikali mbalimbali.
Amesema kwamba kwa sababu mbalimbali mtu au watu fulani wanaweza wasimpende...
Kuna wakati tuache ukweli usemwe na usemwe vizuri. CHADEMA wamekuwa wakitumia lugha zisizofaa dhidi ya polisi, majaji na mahakama kwa ujumla, bila kujua taasisi hizi zina watu na watu hao wana hisia, lakini pia wana mamlaka. Binfasi naamini kuwa lugha hizi ni moja ya sababu kubwa ndugu yetu...
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha...
Pengine kweli CCM imechoka kukaa madarakani, au labda viongozi wake wamejisahau, lakini embu tafakari, kwa hali ya sasa ya siasa nchini, ni chama gani kinaweza kuchukua nafasi ya kuongoza dola? Hii nchi ina vyama ambavyo hata baraza la mawaziri haviwezi kuunda kwanza havina wananchama wa kutosha...
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ukiuanza ni laana ambayo haitokuwa salama kabisa. Kadiri utakavyokuwa ukiendelea, utabaini kwamba ndani yenu kuna tofauti na hivyo utaendeleza ubaguzi. Tutaanza na Uzanzibar na Utanganyika, baadaye tutakuja ukanda ndani ya Tanganyika, tutakuja umkoa...
Wengi mtakuwa mmeona picha na video za David McAllister (pichani) ambaye ni Mbunge wa Bunge la Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge hilo, akielezea kukerwa kwake na hali ya upinzani nchini Tanzania, mathalani kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe...
Kupanda kwa bei ya mafuta kuna athiri kwa ujumla maisha ya wananchi, kwa sababu kunapelekea kupanda kwa gharama za vitu vingine. Lakini licha ya kuwa inaonekana bei ya amefuta imepanda, kwa namna nyingine unaweza kusema bei imeshuka.
Imeshuka kwa sababu serikali imeondoa ada ya mafuta ya TZS...
Kuna wakati sio lazima kila kitu umuhimu wake upimwe kwa fedha. Mafanikio sio kupata au kuokoa fedha pekee yake, ndio maana hata vijana wanasema 'kutengeneza connection' ambacho ndio kinafanyika hapa. Kuimarisha urafiki ni mwanzo wa kupata fursa za kutengeneza fedhaa nyingi zaidi kuliko hizo za...
Shule hii watasoma watoto wa Mtanzania yeyote ambaye amefaulu kwa viwango vinavyotakiwa. Suala la wewe kuuliza watasomama watoto gani na wakati unajua kabisa shule za serikali wanasoma watoto wote, ndio unaanza kuwafanya watu wafikiri ambavyo hata havikuwepo.
Miaka yote nchini Tanzania kunakuwa na upungufu wa sukari, na lazima serikali inaagiza sukari nje ya nchi suala la waziri kusema hadharini kwamba hatotoa vibali wakati anajua lazima serikali itaagiza nje sio sahihi. Na pia kabla ya kusema hayo, walau angepata ushauri kutokana kwa kiongozi wa...
Rais Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa ziara ya Kiserikali ya siku tatu.
Ziara hiyo ya Kiserikali ya siku tatu inafuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Abdel Fattah Al Sisi.
Katika ziara hiyo, Mhe. Rais Samia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.