Recent content by MOUREEN

  1. M

    Makonda endelea kunyamaza, miti yako imekuumbua

    Iwe ya kwake, ya UN iliyoasisiwa kule Kyoto, ya AU, ya EU, ya yeyote yule; si neno. Kuna watu wengi tu walishaanza. Kuna wanaoweka msisitizo, kuna wanaotekeleza. Si neno. Cha muhimu ni wewe kuchangia katika kuboresha.
  2. M

    Makonda endelea kunyamaza, miti yako imekuumbua

    Kampeni ya kupanda miti ni ya kuungwa mkono na kila mtu no matter what! Nchi inageuka jangwa hii. Joto limezidi. Japo amekosea sehemu fulani kwenye hili lakini ameonyesha nia njema. Tuboreshe pale palipo na kasoro tuendeleze hii kampeni.
  3. M

    Rais Magufuli anaenda kinyume na maneno ya Mwl. Nyerere

    Sema ulizokuwa ukizililia sio tukizililia. Kimsingi kama hujafanya utafiti kujua ni asilimia ngapi walitaka kitu kisayansi huruhusiwi ku-generalize.
  4. M

    Mchango wa Dangote, Dewji, Bakhresa kuhusu tatizo la chakula nchini

    Bahati mbaya Sheria haipo hivyo. Kwenye kutumia vyanzo maji vijiji havina mamlaka.
  5. M

    Mchango wa Dangote, Dewji, Bakhresa kuhusu tatizo la chakula nchini

    Elimu: Kuweka mifumo wa umwagiliaji sio sehemu ya miradi ya maendeleo? Jibu: ni sehemu ya miradi ya maendeleo. Pia usalama wa chakula ni agenda ya Taifa lolote lile ili liweze kuwa huru. Kumbuka; ADUI YAKO MWOMBEE NJAA. Njaa huuza uhuru wa Nchi. Na ujue kuanza kidogokidogo kama mtu binafsi ndio...
  6. M

    Nani aliidangaya CHADEMA?

    Ajabu kweli. Sasa kama mlikuwa mnachukia ufisadi kwa dhati, mbona hamkuisaidia hiyo CHADEMA kwa miaka yote hiyo 20?? Slaa amepiga kelele hamkumuelewa. Ni kinini kingewafanya sasa mumuelewe?? Ni unafiki!!!!!!! Unajifanya unajua mema na mabaya sasa! Hukujua zamani! Ulikuwa mtoto?? Mtu yeyote...
  7. M

    Reginald mengi anatumia chuki zake binafsi kuwa ugomvi wa kitaifa

    Sijaelewa. Mtu kupigania haki zake ni ugomvi? Au kusema ukweli juu ya jambo fulani ni ugomvi? Lakini hata mwizi akiitwa mwizi ataleta shari kwa Sababu anataka ukae kimya.
  8. M

    CHADEMA Yaahidiwa Fedha na Wanaharakati (Marekani): Masharti ya Fedha Yanatisha!

    Huyu mtoa mada hii siku zote amekuwa akita mada za kumsifu Zitto na ACT na kukashifu Chadema na viongozi wa Chadema? Mbona Zitto alisema kwa niaba ya chama kuwa yeye hapingi upinzani? Au ndo mchana kama watu usiku wanageuka mizimu.
  9. M

    Sasa ni dhahiri ACT kipo kupunguza kura za UKAWA mwaka huu!

    Narudia tena. Kusaka vyeo na fedha ni roho ya kibinadamu. Hatuhitaji huruma ya mtu aliyopo madarakani bali alazimike kutenda mema. Na sisi hatuna kifaa cha kupima roho ya mtu kama ni njema au la. Muhimu ni kuwa na systems. Kuna nchi ukiingia madarakani tu system inakubana utende mazuri kwa...
  10. M

    Mrema na Fahmi Dovutwa washambulia UKAWA ITV LIVE

    Maneno kama "wanataka madaraka" au "wanatukosoa sana" n.k. ni kutaka tu huruma bila sababu. Hili sio kosa. Ningeshangaa sana kama wangekuwa hawana lengo la kutwaa madaraka. Maneno kama " wanasaka tonge" . Huu ni ukosefu wa fikra pembuzi. Hili sio kosa. Kila mtu ndicho anachotafuta. Either...
  11. M

    Hiki kitabu cha risiti cha huyu Trafiki, ni cha Serikali au chake binafsi?

    Mkuu mbona umeandikiwa "gari bovu" alafu wewe unasema ni ishu ya fire extinguisher?
  12. M

    TEC yamjibu Asha Rose Migiro Kuhusu Kura ya Hapana

    Nani kakuambia KATIBA YA NCHI ni jambo la siasa? Naomba jielimishe maana ya KATIBA kwanza ndio urudi upya hapa.. Naomba kwa ufupi tu ujue kuongelea KATIBA sio siasa. Katiba inawahusu wananchi wote. Wanasiasa na wasio wanasiasa. Na mchezo ukifanyika hapa basi mbeleni ni shida tupu: kwa walio...
  13. M

    Mwanasheria Mkuu: Serikali haitagharimia Mahakama ya Kadhi

    Sasa ni kinini kinafanya sheria iende bungeni kuanzisha hii mahakama? Kama ni ya waislamu tena amesema ni ya hiari alafu itagharamiwa na waislamu wepi? Kivipi? Sheria itaweka utaratibu wa kugharimia? Na hii sheria ni ipi? Kitu cha hiari hakidumu. Nisawa na ujamaa. Kila kitu ni Mali ya umma...
  14. M

    Msaada wa haraka tafadhali

    Naomba mnielekeze namna nzuri ya kuhifadhi ndizi mbichi za kupika ili ziweze kukaa muda mrefu bila kuiva.
  15. M

    Maonesho ya saba saba mwaka 2014

    Jamani maonyesho ya sabasaba yanaanza lini?
Back
Top Bottom