Hakuna kupiga kelele za nini, kwanza unampa kisago huyo bwana wake lakini unaangalia situations kama unamuweza, Bibi utamkuta home unampa kisago na yeye, kujaza watu ndio ishara kwamba mke/mme sio waamnifu
Cha kufanya ni kumpa kisago kwanza huyo hawala kama una ubavu lakini angalia situations, mke utamkuta home maana pale atakimbia ukifika nawe home mpe kisago hakuna kumuuliza, hata kidogo upo mzee
unapoandika post jaribu kuzungumzia uhalisia wa hicho kitu watu wakuelewe, kwa mfano hiyo uliyoiandika haifafanui wewe ulikwenda kwa msichana au yeye alikuja kwako, ukiiandaka vizuri tutakusaidia mawazo
Kiulikuwa na wanawake 3 ambao walinunua ice creame {Ballcone} wa kwanza alikuwa anainyonya, wa pili alikuwa anailamba, na wa tatu alikuwa anaimung'unya! Swali, Je! utamjuaje kati ya hawa alieolewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.