<br />Hivi ni kazi, kama kazi nyingine au ni umaskini
<br />
<br />
Ni ujasilia mali wengi wanasomesha wanatunza wazazi ndugu kwa kazi hiyo hiyo.
mkuu wenye pesa wengi wao zinakuwa hazina baraka na zinapatikana kwa njia zisizo sahihi lakini ndo hao wanakumbatiwa kwenye za ibada iweje changu anae tafuta riziki kwa jasho lake pasipo kuiba ionekane pesa yake haramu!Lakini kwa pesa zilizokosa baraka za Bwana! Sidhan kama zimebarikiwa hizo pesa!
Hivi ni kazi, kama kazi nyingine au ni umaskini
mkuu wenye pesa wengi wao zinakuwa hazina baraka na zinapatikana kwa njia zisizo sahihi lakini ndo hao wanakumbatiwa kwenye za ibada iweje changu anae tafuta riziki kwa jasho lake pasipo kuiba ionekane pesa yake haramu!
Hivi ni kazi, kama kazi nyingine au ni umaskini
Hivi ni kazi, kama kazi nyingine au ni umaskini
Hivi ni kazi, kama kazi nyingine au ni umaskini
ni kazi chafu lakini followers kibao