IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,384
Nina mpnz tunayependana na kuheshimiana sana, kuna vitu anavyofanya ambavyo nashindwa kuelewa ni kwa nini anafanya hivyo.Anaweza akaja home amevaa cheni ya gold halafu akiondoka anaiacha na anachukua kidani changu cha kimasai nilichonunua 4000,..siku zingine anachukua mafuta ninayotumia(of course lotion)-anakwenda dukani na kuninunulia mengine mapya yeye anaondoka na yaliyotumika(ni mara nyingi tu anafanya hivyo),..
Nb:Sijawi kumuuliza nini anamaanisha _sihisi kama ni kitu kibaya ila its somehow strange to me,naomba wadada wanijuze ili nipate elimu kabla ya kumuuliza mlengwa nini anamaanisha.
nawasilisha
Nb:Sijawi kumuuliza nini anamaanisha _sihisi kama ni kitu kibaya ila its somehow strange to me,naomba wadada wanijuze ili nipate elimu kabla ya kumuuliza mlengwa nini anamaanisha.
nawasilisha