Kumuadhibu mtoto ni sawa haikatazwi Bali angalia na adhabu yenyewe ,kumpiga vile tena kichwani sio sawa kabisa OK bahati mbaya angekufa huyo mwalimu angeweza kuishi kwa Amani duniani? Adhabu zitolewe ila sio hicho kipigo cha mbwa mwizi Wa mayai
usawa wa kulia
Hyo hela unayokatwa ni kiasi gani?nenda ukawaambie wakupe hela yako mkononi afu upigwe na stroke we au mzazi wako afu uende hospitalini uandikiwe kipimo cha MRI au ct scan ndo utakapoona kuwa ulikuwa mjinga kudai hela yako na baada ya wiki moja mkeo au mumeo apate ugonjwa...
Hata mi nashangaa sana kila siku umeme unakatika tokea mvua zimeanza kunyesha,sometime unakaa mpaka Massa 24haujarudi ukipiga emergence namba zote not reachable bash watuambie kama wanabiashara ya magenerator haitoki wanataka itoke tujue kuliko kukata Umeme ovyo ovyo bila taarifa
Mbona kwenye misiba watu wanapanga bajeti ya shooting camera na still picture kwa ajili ya marehemu,na watu hawalalamiki kwani zile huwa sio picha?na anaepigwa sio marehemu?tena wengine wanapiga mpaka wanavyomuosha maiti.sioni kama kuna tatizo kwa komba kupigwa picha huku akiwa ameshakufa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.