Recent content by Motowntzjpm

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mpangaji ataifisha nyumba kwa amri ya mahakama/ kesi ya madai

    Mamlaka zinaona ni Hali kesi kuamuliwa hivyo? Madai ya m8 ilifikiwaje? Nyama iliyohifadhuwa ilikuwa ngombe 8 kila mmoja kilo 100 au? Adhabu iendane na kosa. Pande zote zipate haki. Tatizo hadithi kama hii unakuja gundua Kuna mkono wa mtu wa serikali au rushwa iliyopelekea mtu kudhulumiwa nyumba...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nimeponea tundu la sindano kufa. Serikali ichukue hatua, kuna mlipuko unaua kimya kimya

    taarifa haisemi eneo unaloishi kata, wilaya mkoa intasaidia wahusika kudhibiti tatizo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Suppliers wa mbuzi Morogoro

    Je ulipata supplier maana ni natafuta
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mnada wa mifugo Morogoro upo wapi Jumatano au Alhamisi?

    @evarm na yeyote mbuzi nawapata huko vijijini wapi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mnada wa mifugo Morogoro upo wapi Jumatano au Alhamisi?

    Wadau nilikuwa mnadani Leo biashara nzuri mno hii
  6. M

    JamiiForums Tanzania TRC SGR wasirudie makosa ya ujenzi waliyofanya Dar kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora nk

    Wenzetu Kenya SGR limepita juu Kwa juu kote
  7. M

    JamiiForums Tanzania TRC SGR wasirudie makosa ya ujenzi waliyofanya Dar kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora nk

    Kati ya Stesheni ya Jakaya Kikwete Morogoro na Ngerengere kilometa 50 hakuna kituo. Sasa lengo ilikuwa kufungua maeneo husika mbona wakazi wa Fulwe, Mikese, Mkambarani na Kingolwira wote wanateseka kulazimika kufuata huduma kihonda mwisho
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rorya wamemkataa Jaffari Chege

    Sukujua kwamba Suba nalo Moja ya makabila Tanzania
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata pesa za mkopo ili niendeleze uwekezaji wangu?

    Za asb upo mkoa Gani njoo dm
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kupartner naye kwenye biashara ya milling machines.

    waTanzania kupitia Bkisandu naomba nitoe angalizo kwamba tusifuate maono ya JMT ikija kwenye issue ya uwekezaji maana uwekezaji unahitaji 1)Hela 2)vifaa 3)utaalamu 4) eneo 5)masoko Ukitafuta mwekezaji muhimu mchanganu uainishe mambo ma4 hayo na muda uzingatie uwezo wa kufaa Kwa uwekezaji wenyewe.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wazo Pevu kwa 15millions....

    Daah
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wazo la biashara Morogoro mjini

    Nimeipenda hii
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wazo la biashara Morogoro mjini

    Hii unamaanisha kuwauzia machinga au
  14. M

    JamiiForums Tanzania Maeneo gani mazuri ya kupata chakula Iringa mjini?

    Wadau msaada tukutane wapi ambapo Wanaume 4 tunaweza kupata chakula Iringa mjini tukipita saa 7 Leo chakula ambacho sio cha kusubiri, fresh na matunda juisi , nyama , supu Samaki na kuku
Back
Top Bottom