anaetaka kuandika kufichua wizi makanisani kwanza ajue 'wizi' nini maana yake, inatosha tukisema ujinga unamsumbua kama haitoshi aandike mengi matusi yatamfika, watu wengi uelewa kwa mungu hawana bali kujitupa na kujisifu wao wokovu, ni zaidi ya upuuzi.
Jaribuni kubadiri fikra zenu, kwani kuna nini ambacho mjerumani kakiacha tanzania mpaka ashinde kukifuata?, nini anashindwa kufanya na hawa viongozi wetu wanaojijari wenyewe, tumieni ndoto za usiku muache zile za mchana. Napita tuu....
Mwl. Nyerere alisema 'a collapse nation' haiwezi kusimamia mambo ya msingi. Km vile kodi,rushwa, miundo mbinu nk na itabaki kumbizana na watu barabani tu. Hapa ndipo tulipo tz ya leo. Kubwa kwetu ni politics hata kwenye mambo ya msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.