Bayport na mikopo

Bayport na mikopo

Mleta uzi umepewa ushauri mzuri sana na wanabodi,sipendi kuvuruga.Kama hutaufuata, usije ukarudi hapa na ID nyingine ukiomba msaada wa kwenda mahakamani baada ya kupata maumivu.Nenda tu bank ukope hela.
 
Ndugu mteja huduma zetu zimeboreshwa acha kusikiliza maneno ya mtaani kwa watu ambao hata sifa ya kukopa hawana ndo mana unasikia sijui mama alikopa ,achana na majumbu njoo ukope kwa faida yako

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums

we unahusika kwenye kitengo gani usije kuwa mlinzi wa getini unapiga promo 2, binafsi nakuona kama mjinga fulani, unatetea hujui cku moja wajukuu au watoto wako watapeliwa hivihivi. Una Mawazo finyu
 
ucjaribu kukopa kwenye hzo taasisi uchwara kama finca,bayport au blue. NMB riba asilimia 18 tena diminishing sio strait nadhan umenisoma.
 
ivi wale easy finance wapo bado wale ndo walikuwa waporaji wamepora magari ya watu sana na nyumba kwa ishu kama izi kakope bank tu ai labda kama huna sifa za kupata mkopo bank
 
Ndugu mteja huduma zetu zimeboreshwa acha kusikiliza maneno ya mtaani kwa watu ambao hata sifa ya kukopa hawana ndo mana unasikia sijui mama alikopa ,achana na majumbu njoo ukope kwa faida yako

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
Kweli shetani akizeeka hujifanya malaika mwema! ninyi ni wezi wakubwa na mmesababisha vifo vingi sana vya BP hasa kwa walimu kwa udhulumati wenu!
 
Jamani na mkopo wa CRDB nao vipi ikoje?
Rates zao zikoje?
Au nao ni majambazi?

cc @MahinaVeterani, JERUSALEMU
 
Last edited by a moderator:
Hapana usisikie ya watu njoo ofisini kwetu tuongee ,utapata mkopo kadri utakavyo tena kwa mda mfupi sana .KOPA KWA MAAENDELEO KOPA BAYPORT

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums

Umedanganya! mkopo Baypot ni sawa na kununua umasikini. you will regret, hawafai. kuna jamaa yangu alikopo 700,000 akatakiwa kulipa 2,500,000 kwa muda wa miaka miwili alijuta kuwakopa Baypot.
 
Kakope benk achana na hao wezi bayport ni chanzo cha umaskin wezi sana utajuta na banda utaliuza ndugu
 
Hapana usisikie ya watu njoo ofisini kwetu tuongee ,utapata mkopo kadri utakavyo tena kwa mda mfupi sana .KOPA KWA MAAENDELEO KOPA BAYPORT

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
si ndio utuambie mnavyokata ili tuamini ila all comment mnaonekana siyo wazuri
 
Mleta uzi umepewa ushauri mzuri sana na wanabodi,sipendi kuvuruga.Kama hutaufuata, usije ukarudi hapa na ID nyingine ukiomba msaada wa kwenda mahakamani baada ya kupata maumivu.Nenda tu bank ukope hela.
nimeairisha kwa maoni ya wakuu nashukuru kwa ushauri mzuri poa niendelee kudunduliza tu nitamaliza tu
 
Kukusaidia
mabosi wao wanabadilisha kuendesha magari ya wateja walioshindwa kumaliza madeni yao sasa
unakaribishwa na wala usiogope

kumbuka kwenye tangazo lao mwishoni wanasema
"""
""""kopa kwa malengo maaaluuuum""""
 
Wengine ni easy finance

hawa walikuwa wanapaki magari ya wateja mikocheni nyuma nyumba ya h..........kila mwezi wanangalia nani ameshindwa kulipa wanagaiana mwishowe wakaanza kuvurumishana kwa kungangania magari ya watu sijui imeishaje lakini kuwa makini

nenda finca ukamalizane nao
 
Kama unajua siku zako za kuishi zimefika ukingoni au unafukuzwa kazi nenda ukope bayport kwa hao wezi wa mama mkapa. Nilikopa laki 8 mwaka 2008 february walikikata elfu 73 kwa miaka 3 mpaka elfu 2011.
Hao ni majambazi wa kutupilia mbali hapa tanzania.
Tena umshauri na ndugu yako asifanye makosa akakopa kwa hao majangili wa mishahara ya watu.
Naishukuru jamiiforum kwa kutuelekeza mambo mengi
nashukuru kwa ushauri
 
Na tangazo lao na Mrisho Mpoto linanikela mpaka bas kwani anawadanganya watu huku wakiwa wezi wa kutupwa.ACHANA NAO HAO
 
Last edited by a moderator:
Wakuu hawa jamaa wanafaa kwa mikopo nataka kumalizia banda langu hebu nipeni ushauri

Daa! Achana na hawa watu ndugu tena usiwaguse.Nakumbuka kuna mtu alichukua mkopo wao ambao siku wanampa hawakumpa mkataba walimwambia aufate siku nyingine, kuja kukatwa alijikuta wanakata zaidi ya asilimia 200 alienda ofisini kwao hakuna alichoambulia zaidi aliishia kutupa kompyuta zao chini.Acha hilo banda lichelewe kuisha kuliko ujute baadae
 
hebu jaribu kwenda amana bank ili kuepukana na usumbufu wa riba!
 
Back
Top Bottom