Jenerali Ulimwengu aliamsha sana wananchi kujua nchi inaenda vipi kupitia makala zake na pia za waandishi wake. Nakumbuka Rai ilikuwa na makala nzito za kizalendo. .Waandishi wake akina Mbwambo,kulikuwa na mzee mseminari mmoja alipenda kulinganisha dola mbali mbali duniani kama Rumi na taifa la...
Hata kuizima JF ni mbinu Yao maana ilikuwa inaleta awareness kubwa sana maana wanaopata Kwa VPNs ni wachache. Na wameweka watu wao kuwa members humu kusifia , kupinga na kuleta hoja za uongo wakiwa kwenye payrols zao na wanapata bundles za maana na wanafanikisha .
CHAMA KIMESHIKA HATAMU NA...
Details zingine hazijawekwa ila hapo walipokamata ni bandari kavu ya Said Salim Bakhresa Sokota na pia huyo mtanzania Riziki Abdallah Shaweji (40) huyo mfupi hapo kwenye picha ana undugu na Salum Waziri (Mapete) wa Ikulu. Endeleeni kuleta taarifa kiurefu sio kukata baadhi ya taarifa muhimu...
Muache kupotosha Wakili Msomi Peter Madeleka yupo sahihi
Kesi hii ni tofauti na Ile ya kina nyundo.. Kwanza tufahamu kuna njia mbili za kufungua kesi za jinai (Criminal cases)
1. Public procecution hizi ni jamhuri inakushitaki na inaendesha kesi kupitia kwa mwendesha mashtaka wa umma ambae ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.