😂😂😂 bana watu kila siku tunapigwa jua mjini. Kutafuta atleast hao watoy wajao wawe wakishua. Wenye maisha bora wengi hawapo JF.
Interview ni majanga. WanaJF na ile umemaliza oral interview wanakwambia we will call you after 3week na hawajafanya hivyo week 6 Sasa inamaana Ndiyo basi tena.
Kabla hujanunua unatakiwa ujue km ni prefered or common stock/shares.
PS ni ile ammount ya dividend iko fixed whether shares zimeshuka au zmepanda, CS inakuwa inaenda kulingana na profit made km imeshuka divindend inashuka & ikipanda nayo inapanda.
Km comp ikifirisika prefered wanalipwa 1st...
Unafaidika Vipi?
Kuna makampuni hugawa gawio (dividend) kwa wanahisa, na makampuni mengine hawana. Hivyo kabla ya kununua omba ushauri kwa brokers. Mf wa brokers ni km vile orbits securities, rasilimali, pitia web ya www.DSE. con km sikosei. Wsmeweka list ya brokers.
Hisa ni vipande vinachouzwa kwa mafungu vikiwa vinaonyesha umiliki katika kampuni.
Hivyo vipande vinaweza vikauzwa kwa mara ya kwanza kabla havijafika kaunta ya soko km vile DSE kwa bei fixed iliyopangwa na kampuni .ktk hatua iyo huwa inaitwa Initial Public Offering (IPO) . Na zikifika sokoni...
Kwa idadi hiyo ya watu unayotaka kuanza nayo changamoto itakuja kwenye utekelezaji, maana patakosa ufanisi, commitment na kutofautiana kwa interest pia kila Mtu ataona anasauti. Anza wewe zen utapata tu shareholders baadae na sauti utakuwa nayo wewe as a founder wa hilo jambo. Kila lakher
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.