Recent content by motcu

  1. M

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    upo sahihi lakini hiyo approach ya kukomoana si inamuathiri kila mmoja?inakuwa lose lose,kwa nn isitumike busara?
  2. M

    TANZIA TANZIA: Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani afariki dunia

    Ubaya saivi hakuna kwenda nje tunabanana hapa hapa bongo kapuku na wazito
  3. M

    Rais Magufuli amteua Julius Mtatiro kuwa mkuu wa Wilaya ya Tunduru - Ruvuma

    ikifika equilibrium sofa haitakuwa tena sababu ya uteuzi
  4. M

    Rais Magufuli amteua Julius Mtatiro kuwa mkuu wa Wilaya ya Tunduru - Ruvuma

    hivi wote tukiwa praise team tutapata vyeo?kwani wananchi ni wengi kuliko vyeo
  5. M

    TANESCO yapandisha malipo ya umeme kwa watumiaji wadogo

    Ni uongo,tariff 4 ni kwa wateja wa chini ya 75 units per month ukizidi hapo tu unarudishwa tarif 1
  6. M

    Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

    Ya mdogo wake siro,mpaka nifanye homework ya kusoma coments zangu zooote tangu nmejiunga jf km zipo sawa,kwetu mzee hana B's za kunitafuta
  7. M

    Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

    Nipe namba yako ya mpesa,umeutendea haki huu uzi
  8. M

    Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

    Haha,cha kushukuru ni amerudi salama,tukimuuliza yaliyomsibu ni nini tutakuwa tunamuonea,si tushawajua watekaji?
  9. M

    Mrejesho wa Pesa nilizozipata kwenye ATM

    Mkuu wazo langu ni kuwa km una lengo la kumsaidia kwa nn usien branch ulotoa hela uwape muda ulionda bank,bila shaka transaction yake ilitangulia yako si watamjua mwenye a/c hiyo?
  10. M

    Tetesi: Nimeamini Mhe. Mbowe sasa amekwama

    Nmeona username tu hata sijaendelea kusoma
  11. M

    Toyota hillux single cabin inahitaka

    Specifications zake mkuu na picha tafadhali,ASANT
  12. M

    Toyota hillux single cabin inahitaka

    Wakuu nahitaji gari toyota hillux single cabin,manual,cc 2000_ 3000,,kwa ajili ya mama la shambani
  13. M

    Salute kwa waliosoma PCB/PCM

    Tatizo ni kuwa elimu yetu iko theoretical sana kuanzia level za chini,na inamuandaa mwanafunzi kufaulu mtihani,si kupambana na changamoto za maisha,sasa mtu mpaka ajielewe anataka nini unakuta ni too late
  14. M

    Salute kwa waliosoma PCB/PCM

    Creativity ni level za chini sana bongo,hakuna kufikiri nje ya box,mtu akishapata kitengo ni kitambi tu anakifanyia kazi
Back
Top Bottom