Mkuu wazo langu ni kuwa km una lengo la kumsaidia kwa nn usien branch ulotoa hela uwape muda ulionda bank,bila shaka transaction yake ilitangulia yako si watamjua mwenye a/c hiyo?
Tatizo ni kuwa elimu yetu iko theoretical sana kuanzia level za chini,na inamuandaa mwanafunzi kufaulu mtihani,si kupambana na changamoto za maisha,sasa mtu mpaka ajielewe anataka nini unakuta ni too late
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.