Kwa maana naliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya Dhabi zetu, kama yanenavyo maandiko;
NI KWELI KRISTO ALIKUFA KWA AJILI YA DHAMBI ZETU
Je ni dhambi gani na nini maana ya dhambi??
Yoh3:4Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, mbunifu, mwaminifu na mchapakazi
Nimesomea maswala ya manunuzi na ugavi ngazi ya shahada katika chuo cha uhasibu Tanzania TIA na nimesajiliwa na bodi PSPTB
Uzoefu sio mkubwa niliwai kujitolea katika hospitali ya Nkinga kama supplier officer/ storekeper...
PROFESSION-PROCUREMENT IN LOG MGT
EXPERIENCE-6MONTHS
EDUCATION LEVEL; BACHELOR DEGREE
LOCATION - DAR ES SALAAM-KIGAMBONI
Nimemaliza TIA 2021; bacholor hainizuii kufanya kazi za ngazi ya chini kama certificate na diploma.
N:B nimesajiliwa na bodi ya manunuzi PSPTB(active member)
Kwa umelewa wangu mim Mungu wa bible kweli yupo mbinguni ambapo ndio makao yake makuu, na ni roho yenye nguvu
Ndio maana tunao amini tunamuomba na tunapokea kutoka kwake
Ni kweli Mungu yupo mbinguni kwa mimi ninaye amin najibu ndio.
Mbinguni ni wa wap?.... ni makaz yake Mungu japo kuwa Mungu ni...
Sio kweli humpendi Mungu roho zetu zinampenda Mungu 100% na kumjua tatizo liliopo ni kuweza kupata ufaham wa rohoni uweze kuushinda mwili na njia pekee ni roho mtakatifu if u real want to know God njia zake unazijua find him na utamuliza maswar yote hayo kuna watu hapa hapa dunian wana ongea na...
Walio andika biblia hawakuandika kwa akili zao bali kwa msaada wa roho mtakatifu na yale yaliyo andikwa kwenye biblia n roho inabid usaidiwe na roho mtakatifu kuweza kuelew maneno yaliyo andikwa kwenye biblia kama huelew n bora uombe msaada kwa watumishi wa Mungu
Kama kwel unamtafuta Mungu aliye mkuu michango sio tatizo Mungu huwa anaonekana sana katka utoaj kwa sababu yeye Mungu mwenyew natural yake n utoaj huwez kubalikiwa kama sio mtoaj tatizo watu weng wanaenda makanisani sio kwa ajil ya kumtafuta Mungu ndio wakisikia michango wanaona sio sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.