Recent content by moshilo

  1. moshilo

    Kwa hali ilivyo sasa, ni wazi kabisa kuwa Paul Makonda atajiuzulu au atatenguliwa!

    Jirani yangu ni Mwalimu tangu 1999 ,qmetumbuliwa juzi alikua anatumia jina LA mtu ,na amerudi darasani upya kuoitia jina lake
  2. moshilo

    Uongozi wa kanisa KKKT utoe tamko haraka kuhusu yaliyojiri Jana Kimara

    Hahahaha kwanini asingeita waandishi wa habari kama kawaida yake ajielezee huko ingekua nzuri zaidi
  3. moshilo

    Rais wa Croatia ndani ya bikini ,oh lalaaaaaa

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  4. moshilo

    ARUSHA: Sheikh Ponda amtembelea mbunge Godbless Lema gerezani leo

    Mabomu ya machozi yataamia magereza
  5. moshilo

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Tz ni nchi ambayo cjapata kuona mfano wake dunia nzima ,nataman ningezaliwa hata nchi ya jirani mambo yao yanaweza yakawa ya namna nyingine na c kama haya ya kuumiza wahanga
  6. moshilo

    Maelfu wajitokeza Tabora kuupokea mwili wa Marehemu Sitta

    Naona hapo uwanjani watu wamevaa sare pendwa ya chama
  7. moshilo

    T.B Joshua: Hillary Clinton kupata ushindi mwembamba sana uchaguzi wa Marekani

    Amesoma tena mwishoni akasema the woman will be win in a very narrow way but she will face a lot of challenges in bills ,
  8. moshilo

    Al-Jazeera: Tanzania govt relocates its capital from the port city of Dar es Salaam to Dodoma

    Namwona nape anatema ung'eng'e wa lugha pendwa
  9. moshilo

    MBEYA: Walimu warekodiwa Video, wakimfanyia unyama Mwanafunzi

    Hii video inaonyesha imechukuliwa na huyu Dada anayesema ,Mwalimu mwacheni mtamuumiza
Back
Top Bottom