habari wakuu
kupitia uzi huunaomba msaada wenu.. tatizo la macho linakua sugu kwangu..
tangu mwaka 2013 nimekua nikitumia miwani ya macho, nilianza na lens ya -0.75, tatizo limekua likiongezeka kila mwaka..
jana animeenda kupima nimekuta limeongezeka hadi kufikia -7.5
massada tafadhari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.