Recent content by moshamosha1987

  1. M

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Quran - Wikipedia Cheki maelezo haya kuhusu quran, ni maelezo ambayo yako huru na kuathiriwa sana na dini. Vvřř
  2. M

    Barrick Gold Mine yanaswa ukwepaji kodi wa kutisha

    Kesi hiyo ilifunguliwa toka kipindi cha JK msiwe na ushabiki usio na maana,
  3. M

    Kujiajiri au kuajiriwa?

    Huo ukweli kabisa
  4. M

    Kushuka kwa bei za mafuta: Nini kichocheo cha bei za mafuta kushuka?

    Ni saudi arabia kuendelea kuzalisha mafuta kwa wingi licha ya opec kuitaka ipunguze uzalishaji ili bei ipande
  5. M

    Nifuate malengo yangu au niisikilize jamii ?

    Soma geophysics popote for good future au bsc in physics iko pale udom but kwa future yake haiko nzuri sana unless ndo ivo uunge master direct unakuwa very marketable
  6. M

    Anayefahamu Greenbird Education Institute

    Unachotaka kujua nini zaidi infact kama uko commited kufanya kazi we kapige kazi tu
  7. M

    Kiwanja milioni 1.5

    Duuh bei iko kwenye kichwa cha habari
  8. M

    Hili ndio tamko la Mh zitto juu ya uzushi wa mwana muziki Joseph Mbilinyi (sugu)

    Kama umenielewa... Tusipende the seen obvious things than the real facts. Lets be scientific Zito imeonekana ana shutuma, kasema Okay yuko tayari achunguzwe sasa nn, iwe ana vidili, anything, kama hakuna ushahidi baada ya uchunguzi sioni haja ya kuendeleza shutuma, but sasa hapo ndo zito...
  9. M

    Hili ndio tamko la Mh zitto juu ya uzushi wa mwana muziki Joseph Mbilinyi (sugu)

    Udini? Mkuu its not fair, udini unaingia wapi hapo, jamaa kasema anawasaidia wasanii wa mkoa wake, pia unaelewa hao wasanii wamo wasanii wengi maarufu,so hayo mashirika najua yametumia hyo ili kujitangaza, pia, wasanii hao wapo wakristo na waislamu,mfano linex mkristo, diamond muislamu, baba...
  10. M

    Natafuta nafasi ya kufundisha physics

    Naweza pata details kidogo mkuu? Jamaa juu hapo kanipa option ya Pwani ila nikiwaza itabidi nikaishi huko, napata wakati mgumu kwa ofa yake....
  11. M

    Jiajiri! Matractor yanapatikana bei nafuu + mkopo

    Ningependa kujua bei pia masharti ya mkopo inakuaje
  12. M

    Natafuta nafasi ya kufundisha physics

    Natafuta nafasi ya kufundisha somo la physics ngazi yoyote kuanzia O level hadi A level. Ni pm au ntumie email hapa, moshamosha1987@yahoo.com kwa taarifa zaidi.
Back
Top Bottom