Recent content by mosessilayo

  1. mosessilayo

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    umughaka unazingua c ungeendelea hadi epsod angalau hata ya 20 bac?
  2. mosessilayo

    Mbowe acha kutetea watu wapumbavu

    pmbi aise mbona unawaza kwa kutumia makalio mangapi mlimfanyia lakni bado alivumilia?
  3. mosessilayo

    Staili yako ya kunywa pombe ipoje?

    umenikumbusha mbali kpindi nakunywa banana aina ya raha nakuja kushtuka niko kitandani nilikuwa najiuliza nimefikaje nyumbani na nilipita njia gani huwa sipatagi jibu.ila vijana wa moshi wameharibikiwa na hzo pombe
  4. mosessilayo

    Sababu kuu zenye Mantiki zilizowafanya na zinazowafanya Wayahudi wengi Wasimuamini Yesu Kristo

    kiila mtu na tafsiri yake mkuu huo n mtazamo wako masela wala hatujengi chuki na imani yako itakuponya.hv ushawahi kujiuliza tunaishi kwa imani?ushawahi kumwona mungu?au kuona roho? je ushawahi kuuona upepo upepo una rangi gani?au umeme uko vp.japo hvyo vitu vipo c unaamini hvyo vitu vipo japo...
  5. mosessilayo

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    umughaka unazingua
Back
Top Bottom