umenikumbusha mbali kpindi nakunywa banana aina ya raha nakuja kushtuka niko kitandani nilikuwa najiuliza nimefikaje nyumbani na nilipita njia gani huwa sipatagi jibu.ila vijana wa moshi wameharibikiwa na hzo pombe
kiila mtu na tafsiri yake mkuu huo n mtazamo wako masela wala hatujengi chuki na imani yako itakuponya.hv ushawahi kujiuliza tunaishi kwa imani?ushawahi kumwona mungu?au kuona roho? je ushawahi kuuona upepo upepo una rangi gani?au umeme uko vp.japo hvyo vitu vipo c unaamini hvyo vitu vipo japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.