hapana mkuu.. labda urudi kupiga MD ndio uingie ophthalmology.. zamani kulikuwa na kitu kinaitwa Advanced diploma in clinical optometry lakini ilifutwa.. ilikuwa unapiga kazi kama ophthalmologist tu
1.optician huyu ni mchonga miwani
2.optometrist huyu anahusika na matibabu ya awali/msingi ya matatizo ya macho.. ni daktari
3.ophthalmologist ni daktari kamili wa macho
karibu sana KCMC mkuu
Wakuu.. hii changamoto nawezaje kuitatua..? Status ya aina yoyote iwe video picha au maneno zinagoma kabisa kuwa uploaded.. nimejaribu kufuta na kudownload upya whatsapp shida iko pale pale..
Msaada wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.