Je, NACTE washafungua Applications vyuo vya Afya 2020/2021?

Je, NACTE washafungua Applications vyuo vya Afya 2020/2021?

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,487
Wadau naomba mnisaidie,
Kuna dogo Tunataka afanye applications
Kati ya Nursing, Pharmacy Au Clinical officer,

Je Mda wa kufanya app ushafika?

Au jee kuna vyuo vimefungua maombi vyenyewe?

Chuo gani kizuri cha serikali Kwa kada hizo?

Msaada kwa yeyote mwenye kujua ndugu.


NOTE : Kwenye website yao hakuna update yoyote kuhusu hilo, na kutokuweka kitu haimaanishi 100% hamna kitu, Muda mwingine wanachelewa.
 
Just google NACTE
Mkuu nisingekurupuka tuu kuja hapa bila kujaribu njia nyingine kama hio,

Nimefungu website yao hamna kitu,
Kutokua na kitu haimaanishi 100% kama bado, wanachelewaga kuweka matangazo, halafu unakuta mambo yanaenda chini chini, mfano unakuta chuo kama chuo kishafungua mda wa maombi...

Hiki ndio nataka kujua mzee,
Je kuna vyuo vishaanza applications,
Je chuo naweza pata ushauri wa vyuo vizuri vya serikali?

Asante.
 
Mkuu nisingekurupuka tuu kuja hapa bila kujaribu njia nyingine kama hio,

Nimefungu website yao hamna kitu,
Kutokua na kitu haimaanishi 100% kama bado, wanachelewaga kuweka matangazo, halafu unakuta mambo yanaenda chini chini, mfano unakuta chuo kama chuo kishafungua mda wa maombi...

Hiki ndio nataka kujua mzee,
Je kuna vyuo vishaanza applications,
Je chuo naweza pata ushauri wa vyuo vizuri vya serikali?

Asante.
Bugando wamesha fungua toka next week ingia www.cuhas
 
Mkuu nisingekurupuka tuu kuja hapa bila kujaribu njia nyingine kama hio,

Nimefungu website yao hamna kitu,
Kutokua na kitu haimaanishi 100% kama bado, wanachelewaga kuweka matangazo, halafu unakuta mambo yanaenda chini chini, mfano unakuta chuo kama chuo kishafungua mda wa maombi...

Hiki ndio nataka kujua mzee,
Je kuna vyuo vishaanza applications,
Je chuo naweza pata ushauri wa vyuo vizuri vya serikali?

Asante.
Leo tarehe 15 nacte wanafungua
 
Vyuo vya serekali unaomba kupitia nacte ila private nenda chuoni direct
Dirisha likifunguliwa utaona taarifa kwenye tovuti ya nacte
Hakuna mambo ya chini chini sio ajira mkuu kwamba inaajiri kimya kimya
Hapa wanahitajika watu waombe then wachagulie wakasome,kwa hiyo relax
 
Wadau naomba mnisaidie,
Kuna dogo Tunataka afanye applications
Kati ya Nursing, Pharmacy Au Clinical officer,

Je Mda wa kufanya app ushafika?

Au jee kuna vyuo vimefungua maombi vyenyewe?

Chuo gani kizuri cha serikali Kwa kada hizo?

Msaada kwa yeyote mwenye kujua ndugu.


NOTE : Kwenye website yao hakuna update yoyote kuhusu hilo, na kutokuweka kitu haimaanishi 100% hamna kitu, Muda mwingine wanachelewa.
nahisi kuna kitu wanakisubiri, Kuna wanafunzi wenye sifa za kuchaguliwa kidato cha tano lkn hupelekwa vyuo(ikiwemo vya nacte) badala ya kupelekwa form five sasa nadhani wanasubiri kwanza waletewe hawa wanafunzi wa serikali ili wajue nafasi zitabaki kiasi gani kisha ndio waruhusu maombi kulingana na nafasi zitazobaki kwa kila chuo. Nadhani kama selections za form five zitatoka wiki hii basi na hizi application za vyuo nazo zinaweza kuanza.

NB: Kama huyo kijana wako hana mpango wa kujiajiri asiapply pharmacy kwasababu ajira za watu wa certificate na Diploma za pharmacy kwa serikali ni chache mno hata kwenye ajira ambazo zumefanyika siku za karibuni ikiwemo zile za January watu wa pharmacy hawakuingia. Nafasi yao inazibwa na watu wa nursing sana sana kwasababu nurse anasoma pia kozi ya Clinical pharmacology kwahiyo anataaluma pia ya utoaji dawa na yeye anaenda mbali zaidi mpaka kuchoma sindano kitu ambacho mara nyingi mfamasia hafanyi. Kwahiyo nurse anaonekana kuwa na nafasi zaidi. Hivyo kozi za afya za diploma na certificate pendelea zaidi nursing, clinical medicine na medical laboratory sciences.
 
Mkuu nisingekurupuka tuu kuja hapa bila kujaribu njia nyingine kama hio,

Nimefungu website yao hamna kitu,
Kutokua na kitu haimaanishi 100% kama bado, wanachelewaga kuweka matangazo, halafu unakuta mambo yanaenda chini chini, mfano unakuta chuo kama chuo kishafungua mda wa maombi...

Hiki ndio nataka kujua mzee,
Je kuna vyuo vishaanza applications,
Je chuo naweza pata ushauri wa vyuo vizuri vya serikali?

Asante.
Mkuu em relax...unataka vyuo vya serikali basi subiri nacte wafungue dirisha la udahili...
 
Vyuo vya serekali unaomba kupitia nacte ila private nenda chuoni direct
Dirisha likifunguliwa utaona taarifa kwenye tovuti ya nacte
Hakuna mambo ya chini chini sio ajira mkuu kwamba inaajiri kimya kimya
Hapa wanahitajika watu waombe then wachagulie wakasome,kwa hiyo relax
Mkuu em relax...unataka vyuo vya serikali basi subiri nacte wafungue dirisha la udahili...
Asanteni wakuuu.. naona wameruhusu tayari..

Kama uelewa jinsi ya Kufanya application kupitia NACTE online, tunaomba aweke mwongozo hapa kusaidia/kurahisishia wengine.
 
Asanteni wakuuu.. naona wameruhusu tayari..

Kama uelewa jinsi ya Kufanya application kupitia NACTE online, tunaomba aweke mwongozo hapa kusaidia/kurahisishia wengine.
MAOMBI YA VYUO NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA 2020/2021.

Dirisha la maombi ya vyuo ngazi ya cheti na diploma yamefunguliwa rasmi kuanzia tarehe 15 June 2020 hadi tarehe 15 September.

Kwa wewe mwenye uhitaji wa kukamilishiwa application popote ulipo Tanzania, huduma inapatikana na ya uhakika.

Tuna wataalamu na wazoefu watakaokusaidia kukamilisha application yako ndani ya muda mfupi popote ulipo.

Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane whatsapp/sms/simu +255 752026992

Tunapatikana Mbagala, Maeneo ya Sabasaba.
20200616_144952_0000.jpg
 
Wadau naomba mnisaidie,
Kuna dogo Tunataka afanye applications
Kati ya Nursing, Pharmacy Au Clinical officer,

Je Mda wa kufanya app ushafika?

Au jee kuna vyuo vimefungua maombi vyenyewe?

Chuo gani kizuri cha serikali Kwa kada hizo?

Msaada kwa yeyote mwenye kujua ndugu.


NOTE : Kwenye website yao hakuna update yoyote kuhusu hilo, na kutokuweka kitu haimaanishi 100% hamna kitu, Muda mwingine wanachelewa.
Taarifa zote zitapatikana kwenye website yao
Unadhani atakaye kujibu kama tayari au bado atakuwa amejuaje
 
Back
Top Bottom