Recent content by Moses_King

  1. Moses_King

    Ndoa anapanga Mungu hali iko hivi kwenye ndoa, Je ingekuwaje tungekuwa tunajipangia wenyewe?

    ndoa unapanga mwenyewe wala sio Mungu,mungu anaweza panga upuuzi uliopo kwenye ndoa,yeye kawapa uhulu wakuchagua wala hampangii mtu,alimpangia adam tu si unaona matokeo yake,
  2. Moses_King

    Nipo njia panda wandugu

    kama anamwanaume ataondoka aidha umempa hella au hujampa,lakin jiangalie na wewe inawezekana ukawa chanzo cha hayo yote.maana kaa ukijuwa kama wewe nichanzo ata ukimuacha atakae fata nae itakuwa ivyo ivyo,mwanaume hasifiwi kwa kubadili wanawake,bali kwa kujenga familia imala kwa hekima aliyopewa...
  3. Moses_King

    Nipo njia panda wandugu

    we kama unakazi zako nenda mwache hm mwachie ela yamatumizi,ukiludi jion utapata jibu kama wakuondoka ataondoka kama,kama sio wakuondoka utamkuta,alafu jikaze kiume usioneshe unamjali sana,yani fanya kama akitaka kwenda poa,uone moto wake,anatikisa kiberiti,akikaa ndio uanze kufatilia kimya...
  4. Moses_King

    Unconfirmed News: Navy Seals Tayari Wamefika Peninsula Ya Korea Jana Usiku

    hahaahahahhaaahahaahahaaaaaaaaaa,wakolea wanaishi katika ulimwengu wao
  5. Moses_King

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Daah inauma sana familia ngap zimeachwa yatima,nifamila ngap zimebaki bila msaada,daah kweli nikitendo chakulaaniwa sana.
Back
Top Bottom