Recent content by Moses James

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wananchi kanda ya ziwa waanza kurudisha kadi za CHADEMA!

    Ukanda na ukabila sio kigezo cha uongozi safi.. Magufuri aishie kwao uganda na wazinza wenzake wote halafu aache kutumia jina la kisukuma wakati yeye ni mzinza, kama kaweza kuukimbia uzinza na kuvaa usukuma vp akipewa nchi...?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Picha na Maelezo: Mkutano wa CHADEMA Arusha - Tar 08.10.2014

    pamoja sana kamanda
  3. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Kuanzia Jumatatu, Sept 22 ni wiki ya Maandamano Nchi nzima bila kikomo

    duuuh!!!!! ccm vilaza kweli yaani mnakodi hadi farasi kupambana na watu wasio na silaha? ama kwwli amani ni uzuzu wetu wananchi... yaani maandamano ya aamani kudai haki ya msingi mnatumia farasi,mbwa na AK 47 aisee! VP alshaabab wakitua hapa nchini itakuwaje? vilaza wakubwa nyie
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi kabla ya ndoa

    tuwe wachumba na tusikutane kimwili mpaka ndoa, je nitajua aje kama mzigo upo au laa maana wengine mumeumbwa na kikojoleo tuu na mnadhani mzigo. Mali lazima ikaguliwe na kufanyiwa mazoezi kama inahimili mziki...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Lema, Nassari na Bush na viongozi wa wilaya Arusha na Arumeru wamekamatwa, haijulikani walikofichwa

    watake wasitake maandamano yako pale pale na yatatikisa viunga vyote vya arusha.... mtakamTa na kuweka sero makamamda wetu lakini fikra zetu hazibadiriki... mtashindana lakini hamtashinda daima.
  6. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Arusha wasisitiza kuandamana kesho

    wafuasi wa CCM Ni viraza! sijui elimu yao inawasaidia nin? shame on you
  7. M

    JamiiForums Tanzania Makatibu wakuu wapya wa CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu 2015

    God bless chadema
  8. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatosha!

    M4C pamoja Daima 2015
  9. M

    JamiiForums Tanzania Live Updates: Yaliyojiri Mkutano Mkuu wa CHADEMA ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam...

    mbona SAA tano imefika na hakuna chochote mkuu molemo?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kushiriki na kushindwa uchaguzi nina haya ya kusema kwa uongozi mpya BAVICHA

    safiiiii sana kamanda Joseph Mungu akunyooshee mipango yenye mafanikio kwa chama na taifa kwa ujumla
  11. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Viongozi wa BAVICHA Taifa - Mlimani City, Dar

    safi sana Bavicha
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kangi Lugola: CCM wanaweweseka

    Kangi Lugola ni miongoni mwa wanaccm naowakubali sana kwani hayumbishwi na MTU yeyote ndani ya chama chake cha magamba
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria mkuu wa Zanzibar ajitoa katika uandishi wa Katiba

    Good!!! chanzo cha habari tafadhali
Back
Top Bottom