Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Unamkumbuka Kolimba?
Na yule wa mkuranga
Unamkumbuka Kolimba?
Nime mkumbuka tu Holes Kolimba.
Na yule wa mkuranga
Asubiri muziki wake! Sijui kama ataucheza
Namkumbuka ndugu yangu,nimekusoma na wapo wengi2
Acha kabisa huyo jamaa.Ni Mtanganyika wa ukweli.He usually calls spade a spade.
Kangi Lugola ni kubwa jinga anaependa media attention
Katika magazeti ya leo,mbunge tajwa hapo amenukuliwa akisema kuwa CCM wana hofu kwakuwa wabunge wake 25 hawaingii bungeni.
Kwa maana hiyo alikuwa anamaanisha kuwa ni sawasawa na manowari ikikosa dira baharini, itashindwa kujua inakoelekea.Mimi nimekumbuka alilosema CCM imepoteza dira
allaaa... kumbe, ndio mana kaja na stail yake mpya ya vazi na kuibinua bendera yetu. Kaamua kuweka na raba kama kachumbali. Kukurupuka sio kuzuli.Kangi Lugola ni kubwa jinga anaependa media attention