Kweli mwanangu tuko pamoja.UKANDAMIZAJI WA CCM SASA BASI..........Sikujua kuwa kabla sijalala ningekutana na sala njema namna hii, ubarikiwe mkuu, Watanzania wameshatosheka na adha ya magamba kama sio magome hata sijui ni ya mti au mdudu gani, magamba yamekuwa magumu utadhani nini...........kha!