Kuna watu hawatakuja kubadika kifikra kwasababu ya mfumo wanaoutumikia
Mfumo wa ccm unawaweka gizani baadhi ya wabunge wao,kuchsngia kwa kufuata maagizo ni tatizo sana
Wacha waisome namba
Kama Elimu yenu ni bora kwanini mnalilia muungano, tumieni Elimu yenu bora kutafuta fursa huko huko Kenya
Usitukane mamba wakati hujavuka mto[emoji12] [emoji12] [emoji12]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.