Mwanaume unatakiwa kumjali mwanamke na siyo kupenda kwani kazi ya kupenda wamepewa wanawake watupende ili tuwajari sasa ukijitia kiherehere kuwapenda utalia wewetu
Mara nyingi huwa wanawake hujisahau kwenye lugha na majibu yao,usafi,kila kitu Dada wa kazi anaachiwa yeye na kujifanya wao wapo bize au wamechoka na kuwa karibu na mashoga kuliko care ya mume so hapo lzm uachwe Mimi yamenikuta hayo nichofanya MTU alipewa likizo aliporudi alijikuta kanyooka...
Ukitaka kuishi na mkeo milele usimfuatilie suala la kuchepuka vinginevyo ni lazima utamkamata na itakuwa kama ilivyotokea kwako duniani hakuna mwaminifu hilo unatakiwa kulitambua arafu ulipuuzie utaishi maisha mazuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.