Nmh! Ungekuwa muungwana zaidi km ungenukuu kilechokuwa kinazungumzwa, kuliko kuja hapa na kujumuisha mambo!! Nacho ona unachotafuta wewe ni uchochezi wa kidini..! Elewa hizi ni dini 2 tofauti vivyohivyo itikadi na baadhi ya mafundisho hukinzana.. Na si kashfa km unavyotushawishi tukubaliane na...
hahahahaa kwanza pole! hiyo sms ni kali mno... ungeitumia tu kama mlishawahi kukaa pamoja na kuliongelea hili halafu akashindwa badilika! nashauri kaa nae muongee mwambie jinsi unavyojisikia na vile amabavyo hupendezwi na namna anavyofanya! mueleze namna unavyotaka wewe..! lakini pia msikie na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.