tatizo descipline......... ninaowasikitikia ni wale ndugu zangu wanaotoka kwenye familia za ugala na mguu wa kuku... wazazi wamejitahidi myoto anaishia kupata zero ya kujitakia.......
angalau basi hata ukapatakadegree kako ukakosa kazi hilo jambo jingine........ big up kwa wote mliofaulu...
Jamani samahani kama nitawaudhi ila ni bora yeye kafa mara moja lakini huwezi jua huenda kamwacha mke ambaye ataishi binadani mfu for the rest of her life! let assume alimwamini mwenzake kwa 100% na leo hii kamfumania real inaweza kuwa imemuumiza sana mpaka kafikia uamuzi huo! Sisemi kafanya...
huu ni msiba wa kutisha jamani!!!! mijitu inajifanya makanisani na misikitini ina-attend halafu inaendekeza ngono ngono hadi kichefuchefu, hivi hiyo amri ya Mungu inayosema usizini kwa wakristo na usiikaribie zinaa kwa waislamu hamuisikii jamani, tulizana na wako, panga maisha ya familia yako na...
Real interesting!!! Mtu kutoka kusikojulikana anakutumia sms eti kavutiwa na profile kibaya zaidi profile yangu haina picha yangu na some important information that catch someone's attention hazipo! Sidhani kama kuna yeyote atanasika kwenye mtego wa namna hiyo!!!
SUBHANNALLAH!! kaka yangu inaonekana real you do have concern but i think hukupaswa kuweka kila kitu as u have did, pili ni vema ukamrudia Allah na kutubia ukweli ukweli naamini atakupa aliyebora kuliko huyo! Kingine naomba mwambie huyo mwnamke kama mumewe na matatizo ya msingi afuate taratibub...
Hello my dear brothers and sisters! I hope you are doing great, I have been receiving texts through my Facebook account like "My name is ......, i saw your profile today at /facebook.com/ and became interested in you,i will also like to know you the more,and I want you to send an email to my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.