ndugu zangu naomba kwa mwenye ujuzi wa vitu hivi nataka kuanza biashara ya kuuza chostic au koni au ice - cream lakini cjajua kama huwa zinafaida naombeni mnijuze ndugu zanguni wenye uzoefu tafadhali.
pole sana ndg, mimi ni shuhuda wangu mwenyewe nimesumbuliwa na tatizo hili la MAYOMA tangu nikiwa mjamzito hadi nimejifungua tena salama bila operation na mwanangu ana miezi minne sasa , nilipewa dawa za kuzuia moccarriage na bed rest , ila ni PM kwa maelezo zaidi naamini utapona mpendwa maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.