Recent content by morphine

  1. morphine

    Mwanamuziki Matonya ashtakiwa kwa ubakaji nchini Kenya

    Noma sana hii kesi, ki mzaha mara anakula mvua za kutosha.
  2. morphine

    Bei za kuscan magari

    wamekuchapa ngapi? :)
  3. morphine

    Car security: Je, kuna Alarm System yenye 'KILL SWITCH' ndani yake?

    Funga alarm inaitwa "Auto watch" ina hizo feature unazotaka.
  4. morphine

    Airtel mnachokifanya kwenye router zenu ni changamoto kubwa sana kwa wateja wenu. Mtandao upo chini sana

    Wengi wetu hatujastukia hilo. Star link pia ana shusha speed baada ya kufikia matumizi fulani, nimesahau kidogo ila makadirio 2.4TB ndani ya mwezi. Pia tusisahau star link ni ghali mno kufananisha na makampuni tuliyozoea Tanzania. Satellite internet ni mahsusi kwa aliyeko nnje ya mji.
  5. morphine

    Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani

    Ohooo 🤣🤣
  6. morphine

    Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani

    Namna hii bunge bado halija halalisha "cha Arusha". Sijui itakuaje.
  7. morphine

    Niko njia panda msaada

    Pole kwa mtihani, itisha kikao na busara itumike.
  8. morphine

    Ziara ya watoto wa mjini yamnyamazisha RC mbabe

    Ngoja tuone muendelezo.
  9. morphine

    Gari nyingi za Toyota za sasa ikishachemsha, fikiria kununua mswaki au engine complete nyingine

    Tulio na 3s, 5a, 5s na 7a tunawaangalia "wakishua" mnavyolalamika. :cool:
  10. morphine

    Nimefanya maamuzi magumu naomba msaada hapa

    ukute masta alikausha kwa mkaa ndio maana anatusumbua hapa jukwaani.
  11. morphine

    Nimefanya maamuzi magumu naomba msaada hapa

    kichwa chako kizima sana, wengi hawajaelewa hiyo "pin-code"
  12. morphine

    Nimefanya maamuzi magumu naomba msaada hapa

    hapana, ni lugha ya "pin-code"
  13. morphine

    Nimefanya maamuzi magumu naomba msaada hapa

    Una hakika ilikauka juani vizuri?
Back
Top Bottom