Kwanza mi nianze kwa kukisifu chadema kwa mamuzi magumu japo walio chukua maamuzi haimanishi ni wasafi vya kutosha ama wanafanya kazi kwa weledi mkubwa.
Ila kwa mtazamo wangu na namna ambavyo nimekua nikifatilia siasa za apa nnchini naweza sema mhesimiwa zitto kabwe katendewa haki sababu ziko...
Kweli ndugu yangu hata kama kuna uhuru wa kutoa maoni ila hapa umechemka fatilia siasa vizuri ns kuna uhusiani wake na maisha ya mtanzania halisi swala la historia ya chama ulipaswa kuzungumzia kama angekua katofautiana na vikao vya chama chake
Kaka umenene vyema maana hujaegemea popote ila tukipima hapa mi naona tungewapa chadema maana pamoja na kwamba viongozi wa ngazi za taifa hawana weledi mkubwa wa kuliongoza taifa lakini wanaushirikiano na walioko ngazi za chini wenye utashi mkubwa na mimi kikubwa ninacho kiona hapa ccm...
Mwana jf mwenzangu nishanga sana kama unasoma na uwelewi ebu niambie ni nnchi ipi tulio wazidi kiuchumi tukawa juu hata kwa kufuta bugdet za nchi je ni kenya, ungereza marekani ambao mshahara wa baraka obama kidogo ulingane na kikwete huku ukijua wazi bugdet yetu aija fikia hata ya wizara moja...
By moringe lucas
Wajameni watanzania wezangu penye ukweli tu semeni ukweli na tuache ushabiki wa vyama na tutoe mitazamo yetu ya kufikiri kila kinacho fanywa na ccm ni mabavu ama chadema ni watu wa kulalamika kuna mengine yanayo fanywa na viongozi wa vyama kwa kukurupuka bila kutumia utashi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.