Wakati CCM wakiwa hawaeleweki wanafungia wapi kampeni zao mji wa Tunduma katika viwanja vya shule ya msingi mlimani wafuasi wa vyama vinavyounda UKAWA wamefulika kwa wingi na hii haijawahi tokea katika historia ya mji huu kwa uchaguzi kama huu kuhudhuriwa na watu wengi kiasi hiki. Kampeni hizi...
Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewaanika wabunge 15, waliobainika kuchukua posho za safari bila kusafiri huku wengine wakikatisha safari zao.
Akizungumza katika mahojiano maalumu jana na mwandishi wa gazeti hili, Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashililah, alisema tayari fedha...
Wanabodi naomba kufahamishwa au kuelimishwa kuhusu nafasi ya wakala katika bank ya NMB. Nimekuwa nikijiuliza sana kuwa wakala katika bank ya NMB ana kazi zipi na analipwa kiasi gani?
Naomba kuwasilisha. ASANTENI
Nauza vitalu/PMLs za Madini ya Gypsum kama mchanganuo unavyoonesha hapa chini
Minerals
Types of minerals : Gypsum
Location : Makanga village, kiranjeranje ward, Kilwa district
Status of PMLs : Certified by Ministry of Energy and Minerals
Area of PML : 10 hectares each...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.