Oh, well, very sad indeed; mashujaa kufa kifo cha kimya kimya inatia huzuni sana. Angekuwa mwanasiasa, au hata mwanamichezo, au mwanamuziki, hata asiye na CV ya kumkaribia angetangazwa na wananchi wangepata nafasi ya kumuombolezea at least familia yake wangejua kuwa mpendwa wao hakuwa nobody...