Recent content by Moorio

  1. Moorio

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Hodi humu ndani... Tafadhal mim naomben mwenye biashara ya movies ambaye ana historical Korean drama hasa za zaman na mpya tufanye biashara ...nahitaj kuzinyonya kwa flash disk
  2. Moorio

    Wale tulioomba ajira za muda za Tume Huru ya Uchaguzi tukutane hapa

    Uchaguzi wa serikal za mitaa hausimamiwagi na tume....huo unahusika na TAMISEMI...(tawala za mikoa na serikal za mitaa) ,tume ya uchaguzi unadil na uchaguzi wa madiwani wabunge na urais ambao ni mwakani... Zoezi la uandikishaji linaenda kwa awamu na kwa sasa mikoa ambayo ni tayari ni Kigoma...
  3. Moorio

    Wale tulioomba ajira za muda za Tume Huru ya Uchaguzi tukutane hapa

    Majina yaliyotoka mpaka sasa ni Kigoma, Tabora na Katavi ambako uandikishaji ndio unaanza tarehe 20 july.....mikoa mingine bado uandikishaji unafanyika kwa awamu sio kwa wakati mmoja.....baada ya mikoa hiyo itatangazwa mikoa inayofuata ndio majina yao yatatoka
  4. Moorio

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    Majina yametoka ya kigoma tu mpaka mkoa wako ufikiwe kwenye uandikishaji ndio majina yanatoka
  5. Moorio

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    Watu wanaita kwa awamu..zoezi la uandikishaji linafanyika kwa awamu sio mara moja nchi nzima...hivyo wameanza na kigoma tarehe 20 na majina yametoka ya huko....walitangaza taarifa za mikoa inayofuata itakuwa inatoka kwenye vyombo vya habari... Mfano baada ya kigoma unafuata mkoa wa tabora na...
  6. Moorio

    Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

    L ikiwa mwez wa kumi na uchaguzi kipindi gani?
  7. Moorio

    Ajira Jeshi la polisi

    Vizia vizia usiku mkuu sasa hivi website imeelemewa toka watangaze ajira kila mtu yuko kwenye website
  8. Moorio

    Tangazo la ajira za muda tume huru ya uchaguzi

    Lazima ipite kwa mtendaji mpendwa hata na sisi tumefanya hivyo hivyo hakuna cha kupoteza hata kama usipoitwa ukiitwa elfu 60 kwa siku sio haba aiseee
  9. Moorio

    Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

    Hongera sana kaka Mshana hii ni fursa nzuri sana aiseee Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  10. Moorio

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Amina kaka tuombeane tu Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  11. Moorio

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Siku 12 tu kwa miez ya mwaka kesho Mungu akijaalia ni siku ya 5 najitahid kula vyema jion na matunda na maji ya kutosha hayo masaa ya mchana Roho Mtakatifu anajua ngoja twende kiimani nimemwomba kwamba nanyonyesha na anajua .....vita ya kiroho niliyonayo bila kufunga mkanda sitofika mwalimu...
  12. Moorio

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Ila wa matunda pekee bado sijaanza nimeanza na wakawaida mana hata huu ulikuwa unanipiga chenga; Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom