Nachopendea mkoani vyakula vyote ni fresh na vya asil, nakuka ugal wa muhogo, mtama au dona, kuku fresh wa kienyeji bei 7000, samaki napata sato, san sangara, furu, nembe, gogogo, kamongo, sangara n.k! Da ukila samaki ujie kavuliwa mwanza zaidi ya wiki 2, mji msafi, nikiweka mafutaya elfu...