Masoud Kipanya is wrong about SUA

Masoud Kipanya is wrong about SUA

Cha kujiuliza ni kwanini bank zinaajiri graduate toka SUA na sio toka CBE. IFM etc ambapo pia kuna graduate wengi tu ambao hawajaajiriwa. Bila shaka UBORA wa graduate wa SUA unawalazimisha waajiri kuwachukua wa na kuwaacha wenye fani pembeni. CBE wengi vilaza.

Cheap labour!!!:biggrin1:
 
Graduates professional wengi vilaza, tena wa IFM na MZUMBE ndo usiwaseme kabisaaa! Vilaza mwanzo mwisho. Mzumbe hadi Masters wanafanya kama Special Project na hakuna hata kufanya presentation ya findings.

USINIKUMBUSHE TENA MKURUGENZI WANGU WA UTAWALA NI GRADUATE WA MZUMBE YAANI HUYU MAMA NI MAJANGA
AKITUONA WATAALAMU WA SUA ANAANZA KUPANIC KIUJUMLA KAZI IMEMSHINDA
 
Acheni kukariri kuna watu wanadegree zao wanasafisha vyoo nchi za watu nyie mnajiuliza kupata kazi ya counter? harafu tunalilia ajira hakuna kwa kuchagua kazi? lets change the way we live this is too much?
 
Mnakaa kuponda vyuo tu,hvi ninyi mmelifanyia nin taifa hili na hizo degree zenu za vyuo vyenu?makanjanja wa nchi hii mtaisha lin ninyi?
 
Ustake ncheke kumbe katuni yenyewe hata hamjaioona, sasa mwabishania nini? kwi wki wkiw kwi 😀 Gonga kwenye katuni kuona ujumbe wake! mweeeee!

Kaka mbogela upo.product ya Sua wewe Kama silo Junior seminary
 
Namuunga mkono Masoud Kipanya, lengo la kuanzisha SUA limepotea. 80% ya Watanzania ni peasants, SUA ipo tangu 1960s, lakini imeshindwa kumkomboa mkulima wa chini. Graduates wake ndio hao wamejazana bank, siku hizi wengine wanafanyakazi Vodacom, Tigo na Airtel. Kilimo kimeishia wapi?
 
Masoud kipanya, recently posted a cartoon, depicting a SUA graduate working in bank with a line saying "Hii ndio Bongo, nimemaliza chuo kikuu cha kilimo cha sokoine lakini niko kaunta benki", a statement of the sort. Masoud, like many Tanzanians, are ignorant of the curriculum, even degree programs offered at SUA. The original BSc Agriculture of SUA offered in 1980s, had specialisations and final year students used to specialise in different fields including Agricultural Economics. People like Prof. Anna Tibaijuka graduated from SUA with BSc Agriculture with specialisation in economics and today she is leading UNHABITAT. Since the 1990s SUA has been a dgree of MSc. in Agricultural Economics. Recently, SUA started degree programs in Agricultural Economics and Agribusiness and an MBA with biase to agriculture. My dear Masoud agriculture is a sector, not farming. The degree of agriculture offered by SUA considers all components of agriculture, from engineering, economics, communication, processing etc.
Being a graduate of SUA does not mean that you are committed to a farm or the likes. Even more, people have natural talents. Masoud never attended a university offering a degree in "cartoonology", but he is doing fine with his toons. Likewise, Tracy chapman has a degree in Agriculture but chose the music career. One of the best music producers in Tanzania Hermes B, is graduate of SUA. Do you remember Prof Madundo Mtambo, a man who shocked Simba SC in the 1980s? A SUA graduate. Graduates of SUA have prospered in different fields (not just banking) including politics where you have people like Prof. Msolla, David Mathayo, Hawa Ghasia, Jumanne Maghembe etc.
The secret is, financial institutions that employ student from SUA are impressed by their perfomances, and thats not just CRDB. PRIDE Tanzania is proud os SUA graduates, so is FINCA and NMB. Afterall, all those people employed in Tanzanian banks are not graduates of BCom, or finance, or Banking. Most of them have degrees and they undergo inhouse training. The best ones prosper, like the SUA graduate you see behind the counter. Be warned that SUA graduates are doing fine in agriculture itself. A good example is Shambani graduates, a company formed and owned by young SUA graduates. I dont believe that Masoud's father-in-law has a degree in agriculture? I gues he own farmms in Mbeya...au hii ndio Bongo?

Let me prove you wrong in this! You bask behind your office desk scribling this underrated observation,agah no joh no!.... those guys with the people's bachelorz from not only sua but all over tz universities are witnessed in wrongful professions like banking while they studied sociology,teaching while they studied environmental sc. etc ....
I have two bros of mine who graduated from that same vazt you're trying to inflate yo chest on behalf in defence, who now work as teachers one here in Dar another works @ kagera... wewe mtoto wa kitanzania if SUA sent you to provoke our dear brother and legend cartoonist Mr kipanya here on fb tell 'em kipanya iko kasini natafuna mahindi kwa sababu binadamu meshindwa,ngah go deh go....watu wengi nafanya kasi sio lisosomea jenga hoja kwenye hili leave kipanya alone.
 
Namuunga mkono Masoud Kipanya, lengo la kuanzisha SUA limepotea. 80% ya Watanzania ni peasants, SUA ipo tangu 1960s, lakini imeshindwa kumkomboa mkulima wa chini. Graduates wake ndio hao wamejazana bank, siku hizi wengine wanafanyakazi Vodacom, Tigo na Airtel. Kilimo kimeishia wapi?

Tatizo hawamo humu, wengi wao ni mabwana shamba remote location kwenye mashamba ya wakoloni...thread imetoka tangu 2009 miaka 6 sasa hawafika na kujitetea?
 
Tatizo hawamo humu, wengi wao ni mabwana shamba remote location kwenye mashamba ya wakoloni...thread imetoka tangu 2009 miaka 6 sasa hawafika na kujitetea?

Tatizo sio sua.SUA wanafanya tafit nying na zenye manufaa kwenye but their implementation rests with the govt.SUA haiendesh nch na wala haifany maamuz but n washaur 2 wa serikal na nimaamuz ya serikal kuufanyia kazi.Tz ina wachum weng tu lain bado tuna matatizo ya uchumi.
 
Let me prove you wrong in this! You bask behind your office desk scribling this underrated observation,agah no joh no!.... those guys with the people's bachelorz from not only sua but all over tz universities are witnessed in wrongful professions like banking while they studied sociology,teaching while they studied environmental sc. etc ....
I have two bros of mine who graduated from that same vazt you're trying to inflate yo chest on behalf in defence, who now work as teachers one here in Dar another works @ kagera... wewe mtoto wa kitanzania if SUA sent you to provoke our dear brother and legend cartoonist Mr kipanya here on fb tell 'em kipanya iko kasini natafuna mahindi kwa sababu binadamu meshindwa,ngah go deh go....watu wengi nafanya kasi sio lisosomea jenga hoja kwenye hili leave kipanya alone.

kipanya is wrong.a graduate with bsc.(agricultural economics and agribusiness) can wrk as agribusiness loan officer in any bank.
 
Jamani.. Kabla ya yote naomba kuuliza elimu ya masoud..😕

SUA inafundisha masuala ya maktaba/ukutubi
 
Namuunga mkono Masoud Kipanya, lengo la kuanzisha SUA limepotea. 80% ya Watanzania ni peasants, SUA ipo tangu 1960s, lakini imeshindwa kumkomboa mkulima wa chini. Graduates wake ndio hao wamejazana bank, siku hizi wengine wanafanyakazi Vodacom, Tigo na Airtel. Kilimo kimeishia wapi?

Mpendwa sua imeanzishwa rasmi mwaka 1980
 
kipanya is wrong.a graduate with bsc.(agricultural economics and agribusiness) can wrk as agribusiness loan officer in any bank.

Agribusiness>>» mind you its a compounded word wherein agri stands for agriculture now where does a learned fellow like you gather guts to lie to us that agribusiness ni banking nendeni shambani mkalime muache uvivu nyeeh heweeh!
 
Hapa hapana. Masoudi hakumaanisha mlivyo ainisha hapo mwanzo. Ni kweli mnayo sema kuhusu SUA ila yeye alitaka kuonyesha jinsi uozo wa system yetu ulivyo kwenye cases za ajira. Alitumia tuu SUA kama mfano pengine inaweza isiwe moja kwa moja lakini kwenye ile katuni alikuwa na ujumbe mzito mzuri tu. Tusimhukumu moja kwa moja kwenye hili. Actually katuni zake nyingi ni very creative na zinafundisha.

Kama ametumia as mfano lakini huo mfano wenyewe sio sahihi (kuna taarifa potofu ndani yake) hiyo ndo kasoro yenyewe. Mfano unatakiwa uwakilishe picha halisi ya ukweli.
 
you are absolute right FIDEL,ulisoma mambo ya udongo nenda kawe bwanashamba na mambo ya kilimo kwanza ndo saizi yao..to me this is just misallocation ya proffesionalism
u r wrong brother unless umeamua kua wrong kwa mapnz yako
 
Back
Top Bottom