Habari wana jukwaa naomba msaada nahitaji kujifunza ufundi simu especially upande wa hardware, nipo bagamoyo naomba msaada labda mtu mwenye idea nianzie wapi? Au kama kuna fundi pia wa simu upande wa hardware tunaweza kuongea zaidi.
Naomba kuwasilisha.
Binafsi mimi saivi nasoma BSc. Agricultural Engineering niko SUA hapa mwaka wa nne.Alipo hapo kwenye Mechanical Eng. asiache akomae coz hata huku kuna changamoto zake.Huu ndo ushauri wangu.
Naendelea kumpongeza mkuu wa hii kaya kwa teuzi anazofanya, Ila Sikubaliani na uteuzi wa wahadhiri anaowachukua katika vyuo vyetu vikuu nchini hapo anaharibu elimu kwa njia moja ama nyingine,hao wahadhiri awaache wafundishe vyuo tuendelee kupata wataalamu wa kutosha. mfano. Chuo kikuu cha Kilimo...
Hongera sana Prof Mpanduji SM kwa kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa SIDO.Pia kwa upande wa pili Potential moja muhimu sana tumeondolewa sisi wana SUA
Nakumbuka kozi ulizonifundisha
AE 112 ENGINEERING MECHANICS STATICS
AE 115 ENGINEERING MECHANICS DYANAMICS
AE 217 ENGINEETING MATERIAL TECHNOLOGY.
All...
Hongera sana Prof Siza D Tumbo,watu wasioakufahamu wanaongea wanachokijua lakini mi nakujua utendaji wako,umekuwa supervisor wangu pia umenifundisha darasani,BIG UP sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.